GARI LA DUDE LAKAMATWA DAR KWA UJAMBAZI
Stori: waandishi wetu GARI la muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ limekamatwa na Polisi jijini Dar es Salaam likihusishwa na tukio la ujambazi linalodaiwa kutokea Kijitonyama Mpakani usiku wa saa 5.15 Julai 21 mwaka huu. Gari la dude muda mfupi baada ya kukamatwa, Dude alitokea Polisi. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, gari hilo aina ya Vitz lenye namba za usajili T 360 BAJ, lilikutwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo502 Aug
Dude azungumzia taarifa za gari lake kuhusishwa na tukio la ujambazi
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Gari la kigogo Bodi ya Kahawa lakamatwa Dar es Salaam
11 years ago
GPLGARI LA MTOTO WA MALECELA LAKAMATWA
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Gari la uhamiaji lakamatwa na dizeli
GARI la uhamiaji mkoani Geita limekamatwa katika mgodi wa Geita Gold Mine (GGM) likiwa na dizeli pamoja na kiroba cha mchanga. Siku chache zilizopita gari la kubeba wagonjwa katika Kituo...
11 years ago
GPLGARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO
10 years ago
GPLGARI LA DUDE LAIBUA MSALA MAPYA!
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Watu 71 mbaroni Dar kwa ujambazi, madawa
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZ....: WANAOTUHUMIWA KWA UJAMBAZI WA SILAHA WATIWA MBARONI JIJINI DAR
10 years ago
GPLMMOJA WA VIJANA WALIONASWA KWA UJAMBAZI DAR ALIMVISHA PETE MCHUMBA WAKE HIVI KARIBUNI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10