Watu 71 mbaroni Dar kwa ujambazi, madawa
Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watu 71 kwa tuhuma mbalimbali ikiwamo ujambazi wa kutumia silaha na pikipiki aina ya Boxer.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uDgZT_0_WM8/VTYeS7jH6LI/AAAAAAAHSMI/UngHHClER_A/s72-c/IMG-20150421-WA0015%2Bcopy.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: WANAOTUHUMIWA KWA UJAMBAZI WA SILAHA WATIWA MBARONI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-uDgZT_0_WM8/VTYeS7jH6LI/AAAAAAAHSMI/UngHHClER_A/s1600/IMG-20150421-WA0015%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uoW6XzNIBWo/VTYeSTpMd3I/AAAAAAAHSME/koTvyMoET6A/s1600/IMG-20150421-WA0017%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UhPaldN1yqc/VTYeSs3L5NI/AAAAAAAHSMU/24dlrcWN_6g/s1600/IMG-20150421-WA0019%2Bcopy.jpg)
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Watuhumiwa ujambazi 26 mbaroni Dar
ASIFIWE GEORGE NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO), DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikila watu 26 wanaodaiwa kuwa majambazi wanaojihusisha na vitendo mbalimbali vikiwamo vya kuvamia vituo vya polisi.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishina Suleimani Kova, alisema watuhumiwa hao wamekamatwa katika operesheni maalumu iliyoanza Agosti, mwaka huu.
Alisema watuhumiwa hao, walikamatwa na silaha...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Mwanamke kinara wa ujambazi mbaroni Dar
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata mtandao hatari wa majambazi kumi, mmoja akiwa ni mwanamke anayeshiriki kikamilifu wakati wa matukio ya ujambazi. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
CloudsFM23 Oct
MCHINA MBARONI KWA UJAMBAZI
Jeshi la Polisi linawashikilia watu watano kwa tuhuma za ujambazi, akiwamo raia mmoja wa China.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei alisema watu hao walikamatwa na bastola aina ya shortgun na risasi 98.
Alisema kati ya watu ambao inadaiwa walikuwa wakifanya ujambazi juzi wilayani Mkuranga, kulikuwa na Wachina watatu, lakini wawili walikimbia baada ya polisi kufika eneo la tukio.
Kamanda Matei alidai kuwa Mchina huyo na wenzake walimteka na kumfunga kitambaa usoni raia mmoja wa...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Kada CCM mbaroni kwa ubakaji, ujambazi
JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ramadhani Busega ambaye ni Mwenyekiti wa Kata ya Mawamanyili, wilayani Busega kwa tuhuma za ujambazi na ubakaji. Pia...
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
Watano mbaroni kwa ujambazi Moro, Dom
OPERESHENI maalum iliyoshirikisha askari polisi wa mikoa ya Morogoro na Dodoma, imefanikiwa kuwatia mbaroni watuhumiwa watano wanaodaiwa kuhusika na matukio ya ujambazi na ujangili wakiwa na bunduki moja. Kamanda wa...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Watano mbaroni kwa ujambazi, yumo Mchina
11 years ago
GPLWATU 8 MBARONI KWA KUTUPA VIUNGO VYA BINADAMU DAR
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Polisi yakamata watu 38 wanaotuhumiwa kwa ujambazi, ugaidi
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10