Polisi yakamata watu 38 wanaotuhumiwa kwa ujambazi, ugaidi
Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafunzo ya kigaidi katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Lindi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uDgZT_0_WM8/VTYeS7jH6LI/AAAAAAAHSMI/UngHHClER_A/s72-c/IMG-20150421-WA0015%2Bcopy.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: WANAOTUHUMIWA KWA UJAMBAZI WA SILAHA WATIWA MBARONI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-uDgZT_0_WM8/VTYeS7jH6LI/AAAAAAAHSMI/UngHHClER_A/s1600/IMG-20150421-WA0015%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uoW6XzNIBWo/VTYeSTpMd3I/AAAAAAAHSME/koTvyMoET6A/s1600/IMG-20150421-WA0017%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UhPaldN1yqc/VTYeSs3L5NI/AAAAAAAHSMU/24dlrcWN_6g/s1600/IMG-20150421-WA0019%2Bcopy.jpg)
10 years ago
GPLTAMKO LA KUDHALILISHWA KWA MASHEIKH WANAOTUHUMIWA KWA UGAIDI
Katibu Mkuu wa Baraza Kuu na jumuiya na taasisi za Kiislam Tanzania, Ramadhani Sanze akisisitiza jambo. Sheikh Ally Baswalehe akisikiliza swali.…
11 years ago
Michuzi28 Jul
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Watu 71 mbaroni Dar kwa ujambazi, madawa
Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watu 71 kwa tuhuma mbalimbali ikiwamo ujambazi wa kutumia silaha na pikipiki aina ya Boxer.
11 years ago
Uhuru Newspaper17 Jul
Watu 17 kortini kwa ugaidi
NA MWANDISHI WETU
WATU 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama za kuwaingiza watu nchini kushiriki vitendo vya ugaidi na kusaidia na kuwezesha kufanyika.
Jihad Swalehe, mmoja wa washitakiwa waliofikishwa mahakamani hapo jana saa 7.20 mchana chini ya ulinzi mkali wa polisi, alisomewa mashitaka peke yake ya kula njama za kusaidia na kuwezesha kufanyika vitendo vya kigaidi.
Washitakiwa wengine ni wanaohusika na mashitaka ya kula...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutO9vx3lEh5wtOstOP24B9me-e2PcfG8l1JEOjuImcue0t0QV9D6eFNEniUJXpgqP4qmFAic9IdiMjbT10b01dQ/BACKUWAZI.gif?width=650)
MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI
Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani, Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Watu 26 kunyongwa Misri kwa Ugaidi
Ni baada ya mahakama kuwapata na hatia ya kuunda kundi la kigaidi kushambulia meli kwenye kito cha Suez
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Watu 17 Dar kizimbani kwa ugaidi
Watu 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na tuhuma mbalimbali zikiwamo za kujihusisha na matukio ya ugaidi nchini na katika nchi jirani ya Kenya.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
SHERIA: Watu sita wapandishwa kizimbani kwa ugaidi
>Watuhumiwa sita wa matukio ya ugaidi katika Jiji la Arusha jana walipandishwa kizimbani wakiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi kujibu tuhuma za kufanya matendo ya kigaidi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10