Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMKO LA KUDHALILISHWA KWA MASHEIKH WANAOTUHUMIWA KWA UGAIDI

Katibu Mkuu wa Baraza Kuu na jumuiya na taasisi za Kiislam Tanzania, Ramadhani Sanze akisisitiza jambo. Sheikh Ally Baswalehe akisikiliza swali.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Polisi yakamata watu 38 wanaotuhumiwa kwa ujambazi, ugaidi

Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafunzo ya kigaidi katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Lindi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Masheikh: Dini hazifanyi ugaidi

WAKATI matukio ya uvunjifu wa amani yanayohusishwa na vitendo vya kigaidi yakizidi kushika kasi nchini, viongozi wa dini ya Kiislamu wameasa kuwa vitendo hivyo ni vya watu binafsi na kwamba visihusishwe na dini. Akitoa...

 

10 years ago

Vijimambo

*MTIKILA AMSHITAKI MOKIWA, ADAI FIDIA YA SH BILIONI 1 KWA KUDHALILISHWA

Mchungaji Christopher Mtikila, amefungua kesi katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kumshitaki Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican Tanzania Dk. Valentino Mokiwa.Msingi wa kesi ni kwamba Askofu Mokiwa alimshika makalio Mtikila na kwamba kitendo hicho kilichotokea Juni 25 mwaka jana walipokutana maeneo ya Ilala, kimemdhalilisha.Mtikila alikuwa ameitwa na Askofu kujadili tamko la la Mtikila kwamba Kanisa la Anglican linajihusisha na ufisadi, ukiwemo wizi wa vifaa vya Hospitali ya Mission ya...

 

10 years ago

Bongo5

Exclusive: Diva apanga kumshtaki Diamond kwa madai ya kudhalilishwa na kutishiwa kupigwa

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva aka The Bawse amedai kupanga kumfungulia mashtaka Diamond Platnumz kwa madai kuwa staa huyo alimdhalilisha live kwenye redio na kumtishia kumpiga. Tukio hilo lilitokea jana mchana kwenye kipindi cha XXL ambapo mtangazaji wa kipindi hicho, Bdozen alitaka kujua kwanini wawili hao hawaelewani. Diamond alidai kuwa Diva amekuwa akimuongelea vibaya kwenye […]

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZ....: WANAOTUHUMIWA KWA UJAMBAZI WA SILAHA WATIWA MBARONI JIJINI DAR

Watuhumiwa wa Ujambazi wakiwa wamewekwa chini ya Ulinzi mara baada ya kutiwa mbaroni kwenye mataa ya Red cross katikati ya jiji Dar es salaam muda huu. inaelezwa kuwa Majambazo hao walimvamia na kumpora raia mmoja wa kigeni (Mzungu) maeneo ya Kinondoni na kufanikiwa kukimbia, lakini kumbe wakati wanafanya tukio hilo kuna raia aliwaona na alijitolea kuwakimbiza kwa gari na kuwanikiwa kuwablock maeneo hayo ya Red Cross ambapo huwa na askari wengi wa doria, wamekamatwa na bunduki mbili.

 

5 years ago

Michuzi

WANAOTUHUMIWA KWA MAKOSA 667 WAWATUHUMU MAWAKILI WA SERIKILI KUSEMA UONGO MAHAKAMANI

  Watuhumiwa wakitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo.
MSHTAKIWA Yared Jonas anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  yenye mashtaka 667 likiwemo la wizi wa Umeme pamoja na wenzake wanne amedai kuwa hawakuwahi kutegemea kusikia mawakili wa serikali wanasema uongo mahakamani.
Mbali na Jonas, washtakiwa wengine ni Emilian Mlowe, Bashiru Ngella, Shakira Ngella na Mkama Maira.
Jonas amedai anashangaa kuona wanawabadirishia...

 

11 years ago

Habarileo

17 kortini kwa ugaidi

Watuhumiwa wa kujihusisha na vitendo vya kigaidi wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi walipofikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam kusomewa mashitaka yao jana. (Picha na Mroki Mroki).WATU 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani