Exclusive: Diva apanga kumshtaki Diamond kwa madai ya kudhalilishwa na kutishiwa kupigwa
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva aka The Bawse amedai kupanga kumfungulia mashtaka Diamond Platnumz kwa madai kuwa staa huyo alimdhalilisha live kwenye redio na kumtishia kumpiga. Tukio hilo lilitokea jana mchana kwenye kipindi cha XXL ambapo mtangazaji wa kipindi hicho, Bdozen alitaka kujua kwanini wawili hao hawaelewani. Diamond alidai kuwa Diva amekuwa akimuongelea vibaya kwenye […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Feb
EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA, KUDHALILISHWA
![](http://api.ning.com/files/DIpsX3jcHzPKj9uiBg03VvmM9FD-0Oy2cRoeCC4M*bmgy1rYfbpXDzEmiOT96BBqQIx4Q55Q5viXMoH-pvwAEe0j4Hg3VSb*/hhhh.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0B7lF8NfvyauFed5wygwyf5EzJ2p7a0ksvhbMMBE3DWfSnLo8DEQJXMMLGBsU1TWAdHCwi9dcIUXuSo0TvNFRGw/Diamond.gif?width=650)
SIRI 4 MATUSI YA DIAMOND KWA DIVA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK43E2POR*mFcVgVFaXn0O*IJwX3TJj3AoIZAoCiDTBAfjrAwRn1PltjAtlQJQRor-pXI1XbNGpzZ2v7z3pRhgDS/DIAMOND.jpg?width=650)
ALI KIBA KUTISHIWA KUUAWA, DIAMOND KUHOJIWA POLISI
9 years ago
StarTV02 Dec
Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure
Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure
Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.
Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...
10 years ago
GPLTAMKO LA KUDHALILISHWA KWA MASHEIKH WANAOTUHUMIWA KWA UGAIDI
10 years ago
Bongo Movies23 Aug
Diamond atangaza rasmi kufunga ndoa na Wema. Apanga kufanya harusi uwanja wa taifa
Msanii huyo ghali zaidi nchini kwa sasa, ametamka hayo alipozungumza na Mwanaspoti nyumbani kwake Sinza jijini Dar es Salaam juzi Jumatano. Alisema kuna mambo mengi yaliyomchelewesha kufikia hatua hiyo, ikiwamo maandalizi kwani amepanga mashabiki wake wahudhurie harusi hiyo.
“Ndoa ni kitu cha heri na baraka, lakini kitu kinachofanya kidogo mambo yachelewe ni kwamba sisi au mimi ni mtu ninayefahamika, kwa hiyo hata ndoa yangu watu wengi wanatamani waihudhurie,” alisema Diamond.
Pia...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKb27P3JwiFVcas6HB221zDbaZmwqEmhTlr*ye1KjUTXYRJDekHXqOCgpz84GZmp8unXpqjQBgLmSw1NDhrP4*a2Athq6QVk/MAMAWEMA.jpg)
DIAMOND, DIVA KWANI ‘VEPE’, MMEJISAHAU EE?