Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND, DIVA KWANI ‘VEPE’, MMEJISAHAU EE?

KUNA baadhi ya nyakati unajikuta unashangazwa na baadhi ya maneno unayoweza kuyasikia kutoka kwa watu unaowaheshimu, hasa yanapotolewa hadharani. Binadamu tumeumbwa tukiwa na udhaifu mwingi, ingawa wapo baadhi ya wenzetu, licha ya kujua kuwa hakuna asiye na upungufu, wamekuwa hodari wa kuhubiri ya wenzao, huku yao, ambayo ni mabaya zaidi, wakiyaweka kando.
Na lipo pia tatizo la vijana wa mjini, kuelemewa sana na maneno ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SIRI 4 MATUSI YA DIAMOND KWA DIVA

NImtifuano! Agosti 24, mwaka huu ilikuwa siku mbaya kwa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ au baba Tiffah na mtangazaji anayekimbiza kwa sauti tamu hewani, Loveness Malinzi ‘Diva’ kufuatia kupishana lugha ndani ya studio za redio na hivyo, Diamond kumvurumishia matusi mwenzake.  ...Soma zaidi====>http://bit.ly/1U7HXqj ...

 

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Diva apanga kumshtaki Diamond kwa madai ya kudhalilishwa na kutishiwa kupigwa

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva aka The Bawse amedai kupanga kumfungulia mashtaka Diamond Platnumz kwa madai kuwa staa huyo alimdhalilisha live kwenye redio na kumtishia kumpiga. Tukio hilo lilitokea jana mchana kwenye kipindi cha XXL ambapo mtangazaji wa kipindi hicho, Bdozen alitaka kujua kwanini wawili hao hawaelewani. Diamond alidai kuwa Diva amekuwa akimuongelea vibaya kwenye […]

 

9 years ago

MillardAyo

Sentensi za Diva kuhusu Prezzo na Diamond Platnumz kwenye interview ya Mkasi Dec 21,2015

Mtu wangu kama hukuwa karibu na TV yako kuangalia show ya Mkasi on EATV December 21, 2015 usiku hizi ni sentensi za Mtangazaji wa Clouds FM, Diva aka The Bawse kuhusu uhusiano na rapper kutokea Kenya Prezzo pamoja na ugomvi uliotokea Agosti 24, 2015 kwenye kipindi cha XXL kati yake na Diamond Platnumz. ‘Kwanza Prezo tulikuwa […]

The post Sentensi za Diva kuhusu Prezzo na Diamond Platnumz kwenye interview ya Mkasi Dec 21,2015 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ajabu! Wabunge wetu mmejisahau, mmegeuka kuwa janga

>Kuna usemi ambao nimekuwa nikiusikia mara kwa mara na ambao umekuwa ukitumiwa na watu wengi, unasema kuwa mdomo uliponza kichwa.

 

10 years ago

Bongo Movies

MONALISA: Eti Kwani Tunafanana?

UTANI KIDOGO: Mwigizaji nguli wa filamu  hapa nchini Yvonne Cherrie “Monalisa” ametupia picha hii mtandaoni akiwa na mama yake ambae pia ni muigizaji,Susan Lewis “Natasha” na kuandika maneno ya kiutani zaidi akijiita yeye CHEUSI na mama yake MAMVI nakuwauliza mashabiki kama wawili hawa  wanafanana.

“Nipo na mamvi,nimekutana nae kang'ang'ania kupiga picha na cheusi mangala eti kwani tumefanana?”

Monalisa ni mwigizaji na muongozaji wa filamu mkongwe hapa Afrika ya mashariki naamesha shinda...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kinana, kwa nini? Kwani kunani?

NIMEKUWA nikiyasoma, tena na tena, makala ya Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapindu

Ahmed Rajab

 

10 years ago

GPL

TID, KWANI WEWE NI MNYAMA KWELI?

INAUMA kidogo kuandika kuhusu mtu ambaye umefanya naye kazi kwa karibu kwa kipindi kirefu, anapoendelea kuripotiwa kufanya matukio yanayotofautiana na nafasi yake katika jamii. Na inauma zaidi, vitendo hivyo vinavyoripotiwa kufanywa naye, mwisho wa siku vinaweza kumfanya akajikuta yupo chini ya vyombo vya sheria. Hapa ninamzungumzia Khalid Mohamed, yule kijana wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam anayefahamika zaidi kwa jina la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani