Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TID, KWANI WEWE NI MNYAMA KWELI?

INAUMA kidogo kuandika kuhusu mtu ambaye umefanya naye kazi kwa karibu kwa kipindi kirefu, anapoendelea kuripotiwa kufanya matukio yanayotofautiana na nafasi yake katika jamii. Na inauma zaidi, vitendo hivyo vinavyoripotiwa kufanywa naye, mwisho wa siku vinaweza kumfanya akajikuta yupo chini ya vyombo vya sheria. Hapa ninamzungumzia Khalid Mohamed, yule kijana wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam anayefahamika zaidi kwa jina la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Eid 2: TID kumdondosha Naziz kwenye ‘listening party’ ya album yake mpya ‘Mnyama na Wanyama’

Top in Dar, Khalid Mohamed atafanya party ya kusikiliza album yake mpya ‘Mnyama na Wanyama’ siku ya Eid Pili kwenye ukumbi wa Dar Live jijini Dar es Salaam. Katika party hiyo, rapper wa kundi la Necessary Noize la Kenya, Naziz ambaye ameshirikishwa pia kwenye album hiyo atakuwepo kumsindikiza. TID ameiambia Bongo5 kuwa uzinduzi rasmi wa […]

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Nikulidhishe Kwani Wewe Unanilidhisha!!!!-Lulu

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth  Michale ‘Lulu’ amewatolea uvivu baadhi ya followers wake kwenye mtandao wa Instagram ambao huwa wana DIS kila anachokiweka.

Akionyesha hali ya kutokujali, mwanadada huyo alibandika picha hiyo hapo juu mtandaoni  na kundika;

“Lego get em….. Nikuridhishe Kwani we unaniridhisha!???Am Soleeee...!”

Ujumbe ambao uliugwa mkono na followers wengi na kuwa ‘tag’baadhi ya wale ambao kazi yako wao ni kumponda tu bidada huyu.

Nadhani ujumbe umefika!!!.. Ila...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Dully Sykes — Kwani wewe ni Nani?

Msanii nguli wa Bongo Fleva Dully Sykes amechia wimbo mpya unaitwa “Kwani wewe ni Nani?”. Studio za 4:12 Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: DULLY SYKES - KWANI WEWE NI NANI? (Download)



Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

GPL

OYA MASTA UPENDWE NA KILA MTU KWANI WEWE PESA?

Oyooo…Mambo vipi masela? Kitaa hii barida. Ama nini? Tudei kama nina mizuka f’lani hivi. Ndo kama hivo makachaa nimeshatokelezea kukisanua hapa jamvini aisee arifu. Kwani kuna kwikwi? Haina kwere chaliiangu. Hivi mazee wana hawana mastori mengine ya kupiga mawe au mshiko kwa njia freshi? Maana masela taimu yote hapa kwa kijiweni kwetu chitichati kibwena ni za mastori fekelo kama ishu za mashori, malavu, kitu cha soka...

 

10 years ago

GPL

TID: NI KWELI NAVUTA BANGI!

Funguka! Kwa mara ya kwanza, ‘mnyama’ katika anga la muziki wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘Top In Dar’ (TID) amekiri kutumia mihadarati aina ya bangi huku akijiapiza kuwa hajawahi kutumia madawa mengine ya kulevya ‘unga’ ikiwemo cocaine kama ambavyo amekuwa akinyoshewa vidole na baadhi ya watu, Ijumaa Wikienda ‘lilikabana naye koo’.Soma zaidi hapa ===>bit.ly/1QYnXop ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Le Mutuz: Asante Lulu,Wewe Ndie Rafiki wa Kweli!

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka

“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz mazafantazzzz.....nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama...

 

10 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL, HIVI KWELI WEWE NI MKE WA MTU?

NIMEWAHI kuzungumza mara kadhaa katika safu hii kuhusu huyu binti, mtoto wa nguli wa zamani wa soka Tanzania, Ezekiel Greyson ‘Jujuman’, aliyevuma sana akiwa na Simba. Anaitwa Aunt Ezekiel, staa wa filamu za Kibongo! Nilisema kuwa katika tasnia ya filamu, ni muigizaji mzuri kwa kupamba sinema kutokana na uzuri wa sura na umbo lake, lakini katika wasanii wanaotakiwa kwa weledi na viwango, bado ni mtu wa kati, ingawa...

 

9 years ago

GPL

HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!

JAMANI pole na siasa. Naona zimepamba moto karibu kila kona ya nchi yetu ya Tanzania. Basi, wenye siasa zao tuwaachie, sisi tuendelee na mambo yetu.Wiki hii nina mada nzuri sana kwa wawili wanaopendana. Ningependa kila mmoja asome kwa umakini na ajue nini cha kufanya baada ya hapo. Mada inasema...hana wivu na wewe...hakufuatilii...meseji mpaka uanze wewe...Huyo ana malengo yake! Mpenzi wa hivi anaweza hata akawa anakulamba miguu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani