Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Le Mutuz: Asante Lulu,Wewe Ndie Rafiki wa Kweli!

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka

“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz mazafantazzzz.....nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz ..nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama yangu anaumwa hamna...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Lulu Akilabata na Le Mutuz Hotelini

Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Elizabeth Michael aka Lulu jana alionekana viwanja vya Hilton Double Tree Hotel  akiwa anavinjali na mzee mzima Le Mutuz anaejiita “The King Of All Bongo Social Media Network”.

Wakiwa kwenye viwanja vya hotelini hapo wakiwa wenye nyuso za furaha na mbele yao kuna meza yenye glass mbili za vinywaji, Le Mutuz ambae jina lake halisi ni Wiliam Malecela alizitupia picha hizi mtandaoni na wakiwa katika mpozi mbalimbali na kuandika;

“Leo ni all my Super...

 

10 years ago

GPL

WEWE NI RAFIKI WA AINA GANI?

Ukipenda usipende rafiki zako wamekuweka katika kundi fulani, unaweza kuwa na mtu ambaye rafiki zako wanakukumbuka kila mara kwa kukutakia mema, au unaweza kuwa aina ya rafiki ambaye rafiki zako wakikuona tu wanaanza kukutukana na kukulaani. Sasa wewe unajijua rafiki zako wamekuweka kundi gani? Inawezekana wewe ni aina ya rafiki ambaye unakumbukwa tu kama kukiwa na mnuso au watu wanataka kutoka out,  hasa kama una pesa au...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper: Mama Ndio Rafiki wa Kweli!

Mrembo na Staa wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper amebandika andiko hili kwenye ukurasa wake wa mtandaoni.

“Mama rafiki wakweli, ukitendwa na mwanaume/mwanamke kimbilio kwa mama  tuwapende nakuwalinda  napia kwa wenzetu ambao mama zao wameshatangulia mbele za haki tuwaombee, mama yoyote ni mama tuwapende”.

Ujumbe mzuri sana huu,tuwapende wakinamama wote.

 

10 years ago

Vijimambo

KISA NI KOFIA KWELI AU ALIKUWA NA LINGINE RAFIKI HUYU

Ugomvi wao ulianza kama utani, mmoja hakupendezwa na utani huo, hata alipokasirika mwenzake alidhani utani unaendelea, Agwugho akajikuta akifanya uamuzi ambao ulipelekea rafiki yake kufariki. Polisi wa Lagos, Nigeria wamesema wamemkamata mtuhumiwa Joseph Agwughokwa tuhuma za kumuua rafiki yake Enya Okpara, kwa kumchoma na mkasi rafiki yake, uchunguzi unaonyesha Agwugho na Okpara walikuwa wakigombania kofia ndipo mtuhumiwa alipochukua mkasi na kumchoma nao marehemu shingoni mara tatu. 

Okpara...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanafunzi UDSM walivyotafsiri simulizi ya rafiki wa kweli vitendo

Waswahili wahusema rafiki wa kweli ni yule anayekufaa wakati wa faraja na dhiki. Ingawa watu wengi wanaufahamu msemo huo, inawezekana si wote waliowahi kunufaika au kuwanufaisha marafiki au ndugu zao.

 

10 years ago

GPL

RAFIKI WA LULU ANASWA NA UNGA!

Mwandishi wetu
Jamaa ambaye inasemekana ni rafiki wa karibu wa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ aitwaye Morris Sekwao ‘Junior’ inadaiwa amepata msala ‘hevi’ baada ya kutiwa mbaroni nchini Nigeria akituhumiwa kunaswa na madawa ya kulevya ‘unga’.Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa familia ya Junior zilidai kuwa, jamaa huyo alipatwa na mkasa huo hivi...

 

11 years ago

Bongo Movies

Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.

STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.

 

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”

Kajala alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani