Le Mutuz: Asante Lulu,Wewe Ndie Rafiki wa Kweli!
The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka
“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz mazafantazzzz.....nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s72-c/LEMUTUZII899.jpg)
Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli
![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s640/LEMUTUZII899.jpg)
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
PICHA:Lulu Akilabata na Le Mutuz Hotelini
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Elizabeth Michael aka Lulu jana alionekana viwanja vya Hilton Double Tree Hotel akiwa anavinjali na mzee mzima Le Mutuz anaejiita “The King Of All Bongo Social Media Network”.
Wakiwa kwenye viwanja vya hotelini hapo wakiwa wenye nyuso za furaha na mbele yao kuna meza yenye glass mbili za vinywaji, Le Mutuz ambae jina lake halisi ni Wiliam Malecela alizitupia picha hizi mtandaoni na wakiwa katika mpozi mbalimbali na kuandika;
“Leo ni all my Super...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLKLjpChSdt1oGpV2*mIAyPfp6U1UhOTQ6kOEQu2NOHYV9uPBGu7yQJL7WfmL0KbQvjJkaGhWd4oMpIg9M*9vlb/CHEKANAKITIME.jpg)
WEWE NI RAFIKI WA AINA GANI?
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FHpFk75IKJc/VME9B2l9NaI/AAAAAAAAXtk/8akGjTEmklk/s72-c/le%2Bmutuzii899.jpg)
10 years ago
Bongo Movies10 Mar
Wolper: Mama Ndio Rafiki wa Kweli!
Mrembo na Staa wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper amebandika andiko hili kwenye ukurasa wake wa mtandaoni.
“Mama rafiki wakweli, ukitendwa na mwanaume/mwanamke kimbilio kwa mama tuwapende nakuwalinda napia kwa wenzetu ambao mama zao wameshatangulia mbele za haki tuwaombee, mama yoyote ni mama tuwapende”.
Ujumbe mzuri sana huu,tuwapende wakinamama wote.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-xIOMQ6s-cJc/VJkvPxnRYMI/AAAAAAAA0Eg/Y8OrBKdJVHo/s72-c/MKASIIIR.jpg)
KISA NI KOFIA KWELI AU ALIKUWA NA LINGINE RAFIKI HUYU
![](http://1.bp.blogspot.com/-xIOMQ6s-cJc/VJkvPxnRYMI/AAAAAAAA0Eg/Y8OrBKdJVHo/s640/MKASIIIR.jpg)
Okpara...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Wanafunzi UDSM walivyotafsiri simulizi ya rafiki wa kweli vitendo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5MRiWiv-36s5IGJY1CFIIzOKSoFARbrZlBQ5bsjYIGKHz2u6TUp4MH5i7Sq-arrPt-IXCw9-SDYRwnbwR4rVNDY/FRONTIJUMAA..jpg?width=650)
RAFIKI WA LULU ANASWA NA UNGA!
11 years ago
Bongo Movies13 Jul
Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.
STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”
Kajala alisema...