Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KISA NI KOFIA KWELI AU ALIKUWA NA LINGINE RAFIKI HUYU

Ugomvi wao ulianza kama utani, mmoja hakupendezwa na utani huo, hata alipokasirika mwenzake alidhani utani unaendelea, Agwugho akajikuta akifanya uamuzi ambao ulipelekea rafiki yake kufariki. Polisi wa Lagos, Nigeria wamesema wamemkamata mtuhumiwa Joseph Agwughokwa tuhuma za kumuua rafiki yake Enya Okpara, kwa kumchoma na mkasi rafiki yake, uchunguzi unaonyesha Agwugho na Okpara walikuwa wakigombania kofia ndipo mtuhumiwa alipochukua mkasi na kumchoma nao marehemu shingoni mara tatu. 

Okpara...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz ..nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama yangu anaumwa hamna...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper: Mama Ndio Rafiki wa Kweli!

Mrembo na Staa wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper amebandika andiko hili kwenye ukurasa wake wa mtandaoni.

“Mama rafiki wakweli, ukitendwa na mwanaume/mwanamke kimbilio kwa mama  tuwapende nakuwalinda  napia kwa wenzetu ambao mama zao wameshatangulia mbele za haki tuwaombee, mama yoyote ni mama tuwapende”.

Ujumbe mzuri sana huu,tuwapende wakinamama wote.

 

9 years ago

Bongo5

Ifahamu sababu ya Ne-Yo kuvaa kofia muda wote, tazama picha zake bila kofia

Umeshawahi kujiuliza kwanini muimbaji wa R&B wa Marekani, Ne-Yo huwa haachi kuvaa kofia kila anapoonekana? Ipo sababu ya kufanya hivyo. Ne-Yo ambaye yupo nchini Kenya kushiriki kwenye kipindi cha Coke Studio Africa, alikutana na swali la huwa anaficha kitu gani chini ya kofia yake? Alianza kujibu kwa utani “Nilipokuwa mdogo, nilipata ajali mbaya sana-Natania” akaendelea […]

 

9 years ago

Mwananchi

Wanafunzi UDSM walivyotafsiri simulizi ya rafiki wa kweli vitendo

Waswahili wahusema rafiki wa kweli ni yule anayekufaa wakati wa faraja na dhiki. Ingawa watu wengi wanaufahamu msemo huo, inawezekana si wote waliowahi kunufaika au kuwanufaisha marafiki au ndugu zao.

 

10 years ago

Bongo Movies

Le Mutuz: Asante Lulu,Wewe Ndie Rafiki wa Kweli!

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka

“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz mazafantazzzz.....nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama...

 

11 years ago

Bongo Movies

Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.

STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.

 

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”

Kajala alisema...

 

9 years ago

GPL

HUYU BABA KIMEO KWELI!

KWA kawaida sherehe za harusi ni shughuli ya furaha sana, bwana na bibi harusi na ndugu wa pande zote wanakuwa katika hali ya furaha, labda iwe ndoa ya mkeka, hapo furaha inaweza kuwa nusunusu au haipo kabisa watu wote wamenuna. Lakini harusi niliyoalikwa juzi ilikuwa ya aina yake. Nilijitahidi kuchangia vizuri hivyo kadi yangu ilikuja mapema, mwenyewe nikavaa ile suti yangu ya siku za mnuso na kuelekea kwenye ukumbi. Palikuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Ni kweli Mwana FA na Diamond haziivi kisa Alikiba? FA aueleza ukweli

Weekend hii kwenye show ya uzinduzi wa Tigo Music iliyofanyika Leaders Club jijini Dar es Salaam, kulienea taarifa kutoka kwa mmoja wa mameneja wa Diamond Platnumz kuwa Alikiba aliwazuia Mwana FA na Shaa kusaliamiana na hitmaker huyo wa ‘Ntampata Wapi’.
Ni kweli?“Sijui nikwambie nini, lakini kama sitaki kulifanya hili suala liwe habari, kiukweli yaani,” FA ameiambia Bongo5.
Vipi kuhusu uhusiano wake na Diamond baada ya kumshirikisha Alikiba kwenye hit single yake, Kiboko Yangu?
“No we are very...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani