Ifahamu sababu ya Ne-Yo kuvaa kofia muda wote, tazama picha zake bila kofia
Umeshawahi kujiuliza kwanini muimbaji wa R&B wa Marekani, Ne-Yo huwa haachi kuvaa kofia kila anapoonekana? Ipo sababu ya kufanya hivyo. Ne-Yo ambaye yupo nchini Kenya kushiriki kwenye kipindi cha Coke Studio Africa, alikutana na swali la huwa anaficha kitu gani chini ya kofia yake? Alianza kujibu kwa utani “Nilipokuwa mdogo, nilipata ajali mbaya sana-Natania” akaendelea […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Sep
Ifahamu sababu ya Facebook kufungua ofisi zake Afrika
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Kagame amvulia kofia JPM
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Swita amvulia kofia Yondani
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Plujim amvulia kofia Msuva
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Plujim, amekiri Ligi Kuu ya Vodacom iliyoisha ilikuwa ngumu huku akidai kuwa mchezaji bora wa timu yake kwa muda aliokuwepo Jangwani ni mshambuliaji chipukizi, Simon...
10 years ago
GPL
MMAREKANI NE-YO AMVULIA KOFIA DIAMOND
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Kofia ya Mugabe yamponza afisa wa chuo
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Kwa nini uvae kofia isiyokutosha?
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Shamsa amvulia kofia Irene Uwoya
NA THERESIA GASPER
MSANII wa filamu nchini, Shamsa Ford, amesema katika wasanii ambao anawakubali kutokana na ubora wa kazi zao mmojawapo ni Irene Uwoya.
Shamsa alisema msanii huyo anajua nini anachofanya na anapenda kupeana ushauri na kushirikiana katika mambo mbalimbali na wenzake.
Shamsa aliyasema hayo alipokuwa akimkabidhi zawadi Irene katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwake Sinza, Dar es Salaam.
“Tabia yangu na ya Irene inaendana kwani...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Membe, Mecky Sadick waivulia kofia Yanga
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikino wa Kimataifa, Benard Membe na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick, wamewapongeza wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya klabu...