Swita amvulia kofia Yondani
Kiungo wa JKT Ruvu, Emmanuel Swita amemtaja nahodha wa Kilimanjaro Stars, Kelvin Yondani kuwa ndiye mchezaji bora wa kikosi hicho kilichoshiriki michuano ya Chalenji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GbxOrvAE4yw3XGov34iuTuHZAVPHFwkmnb8eYTfPjOc*WGxeaEZaCp7Tgi9VLuHtcrRGKg--EbA1xetUBpXT4f4/DIAMOND.gif?width=650)
MMAREKANI NE-YO AMVULIA KOFIA DIAMOND
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Kagame amvulia kofia JPM
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Plujim amvulia kofia Msuva
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Plujim, amekiri Ligi Kuu ya Vodacom iliyoisha ilikuwa ngumu huku akidai kuwa mchezaji bora wa timu yake kwa muda aliokuwepo Jangwani ni mshambuliaji chipukizi, Simon...
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Shamsa amvulia kofia Irene Uwoya
NA THERESIA GASPER
MSANII wa filamu nchini, Shamsa Ford, amesema katika wasanii ambao anawakubali kutokana na ubora wa kazi zao mmojawapo ni Irene Uwoya.
Shamsa alisema msanii huyo anajua nini anachofanya na anapenda kupeana ushauri na kushirikiana katika mambo mbalimbali na wenzake.
Shamsa aliyasema hayo alipokuwa akimkabidhi zawadi Irene katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwake Sinza, Dar es Salaam.
“Tabia yangu na ya Irene inaendana kwani...
9 years ago
Bongo519 Aug
Ifahamu sababu ya Ne-Yo kuvaa kofia muda wote, tazama picha zake bila kofia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04au0uffWjv*Pi74h*9x*7VA7f8nQmoifxq-tZx2QAHbXzSBm43pg7QboXrY1dWtHi4IeVo61iPY7Ol8sMM-upOcE/yondani.jpg?width=650)
Yondani aibukia Arusha
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Kwa nini uvae kofia isiyokutosha?
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Kofia ya Mugabe yamponza afisa wa chuo
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Pluijm: Yondani, Cannavaro igeni