Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yondani aibukia Arusha

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani ‘Vidic’. Na Martha Mboma
SIKU moja baada ya gazeti hili kuripoti kuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani ‘Vidic’, hajulikani alipo, huku baba yake mzazi, mzee Patrick Yondani, akikiri juu ya hilo, mchezaji huyo amerejea kikosini na kujiunga na msafara ulienda Arusha kucheza mechi dhidi ya JKT Oljoro. Yondani japokuwa amesafili na timu hiyo lakini kuna kila dalili kuwa mchezaji...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yondani naye atoweka Yanga

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani. Na Khadija Mngwai
IMEBAINIKA kuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani ameamua kuondoka klabuni hapo bila ya kufukuzwa tangu mechi dhidi ya Mgambo JKT, huku kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm akiwa hana taarifa zozote juu yake. Yondani hakucheza mechi ya juzi dhidi ya Kagera Sugar pamoja na ile ya JKT Ruvu ambapo ilielezwa kuwa, aliwekwa nje kwa kuwa alikuwa na kadi tatu za njano. Kikizungumza na...

 

11 years ago

GPL

Baba Yondani awavaa Yanga

Beki kisiki wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
UPEPO mbaya ambao unaendelea ndani ya Yanga, ambayo makao makuu yake ni Jangwani jijini Dar es Salaam,  hasa juu ya wachezaji wa timu hiyo ambao sasa umefika mpaka kwa wazazi wa wachezaji wa…

 

9 years ago

Mwananchi

Pluijm: Yondani, Cannavaro igeni

Kocha mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amewataka mabeki Ligi Kuu wakiwamo wa klabu yake, Kelvin Yondani na Nadir Haroub ‘Cannavaro’ waige aina ya ukabaji wa beki wa Azam, Pascal Wawa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yondani mikononi mwa TFF

BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake Mart Nooij, limesema halitambui sababu za beki wa timu hiyo Kelvin Yondani kushindwa kwenda kambini,...

 

11 years ago

Mwananchi

Swita amvulia kofia Yondani

Kiungo wa JKT Ruvu, Emmanuel Swita amemtaja nahodha wa Kilimanjaro Stars, Kelvin Yondani kuwa ndiye mchezaji bora wa kikosi hicho kilichoshiriki michuano ya Chalenji.

 

10 years ago

GPL

Yondani, Cannavaro watupwa nje Yanga

Beki tegemeo wa Yanga, Kelvin Yondani Na Waandishi Wetu
WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga, ikizidi kupamba moto, mabeki tegemeo wa Yanga, Kelvin Yondani na nahodha, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wametupwa nje ya kikosi hicho baada kushindwa kufanya mazoezi na timu hiyo kutokana na kupata majeraha. Katika mazoezi ya jana asubuhi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Dar, Yondani alianza...

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga play down investigation on Kaseja, Yondani

The reigning Mainland champions, Young Africans, have dismissed reports that their two players are under investigation for alleged match-fixing.

 

11 years ago

GPL

Yondani, Kiiza wafunguliwa milango Yanga

Na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya Yanga kuondokewa na nyota wake wawili, Frank Domayo na Didier Kavumbagu waliokwenda kujiunga na Azam FC huku pia beki wake wa kulia, Mbuyu Twite akigoma kuingia mkataba mpya na klabu hiyo, wachezaji wengine wa timu hiyo ambao ni Hamisi Kiiza, Kelvin Yondani na Haruna Niyonzima wamefunguliwa mlango ya kuondoka klabuni hapo kama wanataka. Maamuzi hayo yalifikiwa juzi Jumamosi katika...

 

11 years ago

GPL

YONDANI, KASEJA WATAJWA FEDHA ZA AZAM

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja. Na Sweetbert Lukonge
HALI si shwari Yanga, wachezaji wa timu hiyo, kipa Juma Kaseja na beki wake, Kelvin Yondani wamekalia kuti kavu ndani ya klabu hiyo na huenda wakatimuliwa baada ya kutuhumiwa kuihujumu katika mechi yake ya Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Mgambo kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, wikiendi iliyopita.
Wachezaji hao wanadaiwa kupokea mamilioni ya fedha kutoka Azam ili wacheze...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani