Yondani, Cannavaro watupwa nje Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h-JWOss2wJ7rNsQkZDr3JrWzBifOjp2rloTRQpLpsuv*TDlJAl4d-mE87qmxOBw8g8eaeDSARQJ4ed7vfETfQRc/IMMMA.jpg)
Beki tegemeo wa Yanga, Kelvin Yondani Na Waandishi Wetu WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga, ikizidi kupamba moto, mabeki tegemeo wa Yanga, Kelvin Yondani na nahodha, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wametupwa nje ya kikosi hicho baada kushindwa kufanya mazoezi na timu hiyo kutokana na kupata majeraha. Katika mazoezi ya jana asubuhi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Dar, Yondani alianza...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Pluijm: Yondani, Cannavaro igeni
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Cannavaro, Yondani chunga huyu Baghdad
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Cannavaro, Yondani wapewa uchawi wa Kiongera, Tambwe
![Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Marcio-Maximo.jpg)
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
KOCHA wa timu ya Yanga Mbrazil, Marcio Maximo, ni kama amesikia ubora wa washambuliaji wa Simba SC, Paul Kiongera na Amisi Tambwe, hivi sasa ameanza kuwapa programu maalumu mabeki wake wa kati, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Kelvin Yondani, kuhakikisha wanakabiliana na mashambulizi yoyote ya timu pinzani.
Mshambuliaji mpya wa Simba, Kiongera ambaye ni Mkenya, anasifika kwa uwezo wake mkubwa wa...
9 years ago
Habarileo28 Oct
Kapuya, Kagasheki na Zambi watupwa nje
WAZIRI katika Serikali ya Awamu ya Nne, Godfrey Zambi pamoja na waliokuwa mawaziri katika Serikali hiyo, Profesa Juma Kapuya na Balozi Khamis Kagasheki ni miongoni mwa wabunge waliotupwa nje katika matokeo ya ubunge yanayoendelea kutolewa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Jumapili wiki hii.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNbx2mRmi3e79ZiE4IuddfJQ9O2PNsRZeO5DxjXpFf17lnEwVgHBADn8qj0bOmVzzO8Eo7TGdFttcWCyU2XKVdNM/bobani.jpg?width=650)
Baba Yondani awavaa Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj1oUSquckziRkCQ79YD5GbY*dEFC0vQ3AizZF8pWaScJZW*SuTIRtVR8KzmVoRXffTz-rkrmft1jgcCMuhgAmZ9/YONDANI.jpg?width=650)
Yondani naye atoweka Yanga
11 years ago
TheCitizen03 Apr
Yanga play down investigation on Kaseja, Yondani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eTK84mM5zdLfaf67oAonKYqNMT*0dRBh0cqH701vdnzDeJ9qxDYOSTlpnrWSh9mxfUILS5GmYZ8fZg8IekK-w4/yondani.gif?width=650)
Yondani, Kiiza wafunguliwa milango Yanga
10 years ago
Michuzi22 Jan
KAGERA WATUPWA NJE YA MASHINDANO YA WANAWAKE TAIFA CUP KWA MATUTA 4-3 NA TIMU YA MWANZA
Na Faustine Ruta, MwanzaTimu ya Wanawake kutoka Mkoa wa Kagera imetupwa nje ya Mashindano kwa Matuta baada ya kumaliza mtanange wao kwa sare ya Nyumbani ya Ushindi wa 2-1 na Ugenini,CCM Kirumba Mwanza na Matuta kupigwa na Timu ya Mwanza kuibuka na Ushindi wa bao 4-3.
Mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba Timu ya Mwanza ndio walianza kupata bao mapema dakika ya 2 kupitia kwa mchezaji wao matata Meriam Kimbuya (10) kwa kukatiza katikati ya mabeki na kufunga bao hilo la kwanza....