Kapuya, Kagasheki na Zambi watupwa nje
WAZIRI katika Serikali ya Awamu ya Nne, Godfrey Zambi pamoja na waliokuwa mawaziri katika Serikali hiyo, Profesa Juma Kapuya na Balozi Khamis Kagasheki ni miongoni mwa wabunge waliotupwa nje katika matokeo ya ubunge yanayoendelea kutolewa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Jumapili wiki hii.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h-JWOss2wJ7rNsQkZDr3JrWzBifOjp2rloTRQpLpsuv*TDlJAl4d-mE87qmxOBw8g8eaeDSARQJ4ed7vfETfQRc/IMMMA.jpg)
Yondani, Cannavaro watupwa nje Yanga
10 years ago
Michuzi22 Jan
KAGERA WATUPWA NJE YA MASHINDANO YA WANAWAKE TAIFA CUP KWA MATUTA 4-3 NA TIMU YA MWANZA
Na Faustine Ruta, MwanzaTimu ya Wanawake kutoka Mkoa wa Kagera imetupwa nje ya Mashindano kwa Matuta baada ya kumaliza mtanange wao kwa sare ya Nyumbani ya Ushindi wa 2-1 na Ugenini,CCM Kirumba Mwanza na Matuta kupigwa na Timu ya Mwanza kuibuka na Ushindi wa bao 4-3.
Mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba Timu ya Mwanza ndio walianza kupata bao mapema dakika ya 2 kupitia kwa mchezaji wao matata Meriam Kimbuya (10) kwa kukatiza katikati ya mabeki na kufunga bao hilo la kwanza....
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Zambi ahimiza ushirika
11 years ago
Mwananchi07 Jul
Zambi: Serikali mbili ni maagizo ya JK
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Kwanini Chiza asiyaige ya Zambi katika ushirika?
KUNA usemi wa Kihaya wa kwamba: “Kato azalwa Kakuru asigara omunda”, ukiwa na maana kwamba Doto hutangulia kutoka nje ndipo anapofuata Kulwa. Wahaya wana imani kwamba katika kuzaliwa mapacha anayetangulia...
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Zambi: Ushabiki wa siasa si suluhu ya kero za vijana
11 years ago
MichuziWANANCHI WA MKOA WA LINDI WAASWA KUJIUNGA NA CHF-ZAMBI
Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Godfrey Zambi wakati wa maonesho ya Nane Nane Kitaifa yanayoendelea mkoani Lindi ambapo Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya...
10 years ago
Vijimambo11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Kashfa ya Kapuya yaibuka upya
TUHUMA za ubakaji zinazomkabili Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya, zimeibuka upya baada ya baadhi ya wananchi wa jimbo lake kumtaka ajitokeze hadharani kutoa kauli juu ya kashfa hiyo....