Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zambi: Ushabiki wa siasa si suluhu ya kero za vijana

Katika shughuli za kisiasa si jambo la ajabu kuona kuwa vijana ndiyo wamekuwa wakitumika kwa wingi hapa nchini na kwingineko kuwapigia kampeni viongozi, kufanya propaganda za kampeni,  kupiga na kulinda kura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ushabiki unavyowatesa vijana katika siasa

>Mwamko wa vijana katika siasa ulianza kujitokeza katika kipindi cha uchaguzi wa mwaka 1995. Chama Cha Mapinduzi (CCM) mbali na mwamko wa vijana ulioibuka ndani yake, pia kilianza kupata upinzani mkali na kutupiwa lawama na kila aina ya kejeli kwa madai ya viongozi wake kukosa sifa za kuongoza nchi.

 

9 years ago

StarTV

Wananchi wahimizwa kusikiliza sera za vyama vya siasa na kuacha ushabiki

Wananchi wametakiwa kuacha ushabiki wa vyama na badala yake wajitokeze kusikiliza sera za vyama mbalimbali vya siasa nchini ili waweze kuchagua kiongozi kutokana na sera zitakazowaletea maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Hayo yamebainishwa na mgombea ubunge jimbo la Buchosa kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Marco Manyilizu wakati wa kunadai sera za chama hicho kwa wananchi wa Kata ya Nyehunge wilayani Sengerema. 

Akizungumza katika mkutano wa kampeni mgombea huyo amesema kuwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kero za vijana na Uchaguzi Tanzania

Kuna matatizo mbalimbali yanayowakumba vijana waliojiajiri kwenye biashara ndogondogo.

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana na siasa za usindikizaji

Mazingira yamebadilika na hadhira ya kisiasa imechukua muelekeo mpya. Kwenye uwanja wa siasa pesa ndio msingi mkuu, huna pesa huna chako! na kwa maana hiyo kiungo kati ya wananchi na wanasiasa ni pesa.

 

9 years ago

Habarileo

UN yaonya vijana na siasa za chuki

UMOJA wa Mataifa (UN) nchini umetahadharisha vijana kuacha kutumiwa katika siasa za chuki na badala yake wawe mabalozi wa amani na wajikite katika kuhubiri amani iliyopo ili iendelee kudumu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM: Vijana epukeni siasa za chokochoko

VIJANA nchini wametakiwa kuwaepuka wanasiasa wanaopandikiza chokochoko zinazoweza kuligawa na kuliingiza taifa katika misukosuko hatari na mapigano ya kijamii. Rai hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, vijana wataimudu mikiki ya siasa 2015?

Mwishoni mwa 2010 na mwanzoni mwa 2011, dunia ilishuhudia mfululizo wa maandamano na kuanguka kwa tawala kongwe hasa katika ulimwengu wa Kiarabu. Maandamano hayo yanaitwa ‘Arabian Spring.’

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijana walia na mfumo vyama vya siasa

BAADHI ya vijana mjini hapa, wamedai kuwa mfumo uliopo kwenye vyama vya siasa unawanyima kupata fursa ya kugombea kwenye chaguzi mbalimbali. Hayo yamebainishwa juzi mjini Kibaha na baadhi ya vijana...

 

11 years ago

Habarileo

'Vijana acheni utumwa wa vyama vya siasa'

VIJANA nchini wametakiwa kuachana na utumwa wa majina ya vyama vya siasa nakuanza kutafakari mustakabali wa Taifa. Aidha vijana na wazee kwa maslahi ya taifa wanatakiwa kuachana na siasa ya majitaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani