Zambi: Ushabiki wa siasa si suluhu ya kero za vijana
Katika shughuli za kisiasa si jambo la ajabu kuona kuwa vijana ndiyo wamekuwa wakitumika kwa wingi hapa nchini na kwingineko kuwapigia kampeni viongozi, kufanya propaganda za kampeni, kupiga na kulinda kura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Ushabiki unavyowatesa vijana katika siasa
9 years ago
StarTV14 Sep
Wananchi wahimizwa kusikiliza sera za vyama vya siasa na kuacha ushabiki
Wananchi wametakiwa kuacha ushabiki wa vyama na badala yake wajitokeze kusikiliza sera za vyama mbalimbali vya siasa nchini ili waweze kuchagua kiongozi kutokana na sera zitakazowaletea maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Hayo yamebainishwa na mgombea ubunge jimbo la Buchosa kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Marco Manyilizu wakati wa kunadai sera za chama hicho kwa wananchi wa Kata ya Nyehunge wilayani Sengerema.
Akizungumza katika mkutano wa kampeni mgombea huyo amesema kuwa...
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Kero za vijana na Uchaguzi Tanzania
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Vijana na siasa za usindikizaji
9 years ago
Habarileo19 Sep
UN yaonya vijana na siasa za chuki
UMOJA wa Mataifa (UN) nchini umetahadharisha vijana kuacha kutumiwa katika siasa za chuki na badala yake wawe mabalozi wa amani na wajikite katika kuhubiri amani iliyopo ili iendelee kudumu.
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
UVCCM: Vijana epukeni siasa za chokochoko
VIJANA nchini wametakiwa kuwaepuka wanasiasa wanaopandikiza chokochoko zinazoweza kuligawa na kuliingiza taifa katika misukosuko hatari na mapigano ya kijamii. Rai hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Je, vijana wataimudu mikiki ya siasa 2015?
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Vijana walia na mfumo vyama vya siasa
BAADHI ya vijana mjini hapa, wamedai kuwa mfumo uliopo kwenye vyama vya siasa unawanyima kupata fursa ya kugombea kwenye chaguzi mbalimbali. Hayo yamebainishwa juzi mjini Kibaha na baadhi ya vijana...
11 years ago
Habarileo11 Dec
'Vijana acheni utumwa wa vyama vya siasa'
VIJANA nchini wametakiwa kuachana na utumwa wa majina ya vyama vya siasa nakuanza kutafakari mustakabali wa Taifa. Aidha vijana na wazee kwa maslahi ya taifa wanatakiwa kuachana na siasa ya majitaka.