UVCCM: Vijana epukeni siasa za chokochoko
VIJANA nchini wametakiwa kuwaepuka wanasiasa wanaopandikiza chokochoko zinazoweza kuligawa na kuliingiza taifa katika misukosuko hatari na mapigano ya kijamii. Rai hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Apr
JK aonya chokochoko za siasa kupitia dini
RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Watumishi wa umma epukeni siasa kazini
MIONGONI mwa habari zinazogonga vichwa vya habari kwa takriban mwezi mmoja sasa, ni kuhusu makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutangaza nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika...
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Jumuiya ya umoja wa vijana (UVCCM) yawaonya viongozi CCM mkoa kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao
Katibu Mkuu wa UVCCM Wilaya ya Mkalama Florian Panga akizungumza kwenye kikao hicho.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana (UVCCM) imewataka viongozi mbalimbali wa CCM Mkoa wa Singida kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao binafsi kwani kufanya hivyo ni kuleta mpasuko na makundi miongoni mwao.
Changamoto hiyo imetolewa Wilayani hapa na Katibu Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhani Kapeto wakati akifunga kambi ya vijana wa Wilaya ya Mkalama ya siku saba kwenye shule ya...
11 years ago
Habarileo14 Jul
UVCCM- Vijana Arusha acheni vurugu
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umewataka viongozi wadini, wazee wa mila na wazazi, kuwaonya vijana kuacha tabia ya kufanya vurugu, ambazo zinavuruga amani ya Jiji la Arusha.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UlqRnAV55VQ/VLIyg6wFndI/AAAAAAAG8rA/9MT_xwUWZsI/s72-c/IMG_0105.jpg)
DKT. SHEIN AYAPOKEA MATEMBEZI YA VIJANA WA UVCCM,ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-UlqRnAV55VQ/VLIyg6wFndI/AAAAAAAG8rA/9MT_xwUWZsI/s1600/IMG_0105.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s6n4qzxaz1c/VLIygb3YiyI/AAAAAAAG8q8/RptoDvHvwPM/s1600/IMG_0090.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ceO8E3fSMXc/Vc_8lb6pTAI/AAAAAAAAkH8/SkLLTy8c55k/s72-c/34.jpg)
JK AHUTUBIA BARAZA LA VIJANA WA CCM (UVCCM) JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ceO8E3fSMXc/Vc_8lb6pTAI/AAAAAAAAkH8/SkLLTy8c55k/s640/34.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-otTFsVFsXfQ/Vc_867xPwBI/AAAAAAAAkJE/raPIconcSNU/s640/32.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7TuZ-6tiMQw/Vc_80huRySI/AAAAAAAAkIc/ptA3cdagz5E/s640/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rY1KoXJ2fx4/Vc_83yVBuAI/AAAAAAAAkI0/iUmy3ltNCzk/s640/27.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-v5Gou1ZhZiM/Vc_9FnTIh5I/AAAAAAAAkJM/c8RtrnXrW00/s640/11.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Rsyf-m0YKLD5LSADUk4HB2RBshYm-I2IyqU09Yjj79AtRpmh8xowo7cgfE-3gFAcg9lJ8WafUf4-JF8*e3vpIXYHcNrTQn*G/a.jpg?width=650)
DKT. SHEIN APOKEA MATEMBEZI YA VIJANA WA UVCCM HUKO ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo11 Jan
MATEMBEZI YA VIJANA 500 (UVCCM) WA MIKOA YA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed1f.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed2f.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed4f.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed5f.jpg)