UVCCM- Vijana Arusha acheni vurugu
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umewataka viongozi wadini, wazee wa mila na wazazi, kuwaonya vijana kuacha tabia ya kufanya vurugu, ambazo zinavuruga amani ya Jiji la Arusha.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
10 years ago
Habarileo04 May
Vijana wadai waliajiriwa kufanya vurugu Arusha
ZAIDI ya vijana 1,000 wanaodaiwa kuwa ni wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mjini hapa, wameandamana kupinga hatua ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ambaye pia ni kiongozi wa chama hicho, kutaka kugombea tena uwakilishi wa jimbo hilo.
11 years ago
GPL![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/3pLvNOioi1LERsqGd4TyOgteJoc_JR8QNknGzUgGymG4nq6BKwdjkad-xRw4lwHnLALBLwlFWyh8-iwNADWxw5Fq7oqGON4eL1bRDhmws8vF7Dz4TTsvQLk=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/001.jpg?w=627&h=835)
MKURUGENZI WA KIWANDA CHA MONABAN CHA JIJINI ARUSHA ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA VIJANA UVCCM MKOA
11 years ago
Michuzi09 Jun
MKURUGENZI WA KIWANDA CHA MONABAN CHA JIJINI ARUSHA ASIMIKWA RASMI KUWA KAMANDA WA VIJANA UVCCM MKOA
![003](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/YtB2jjZr5nQfsQ2LNacvN5NLdHaCEb7_UuLf2nO8iaGhpP9avP9Hbsfqpt5huO_c-0ZGjaK07N3FfVwx69cIboxU0CSRz1OEeEje99ZOkIdO-oysss4A96Na=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/0031.jpg?w=627&h=470)
![002](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/SkWOW3NTuZluh3oEC6sRrJnD3J51AwZH_dK3F8QVsJfjIE0O8B-mlNuNssgKexludiee-Arg8Yc5HZmZeSEkJzYIXVZyV-vNkRiHjnEojMpUDaKJF2AwrbI=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/002.jpg?w=627&h=470)
![001](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/3pLvNOioi1LERsqGd4TyOgteJoc_JR8QNknGzUgGymG4nq6BKwdjkad-xRw4lwHnLALBLwlFWyh8-iwNADWxw5Fq7oqGON4eL1bRDhmws8vF7Dz4TTsvQLk=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/001.jpg?w=627&h=835)
10 years ago
Habarileo20 Sep
'Chadema acheni vurugu'
MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) amewataka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutobweteka kwa kupata majimbo mengi badala yake wakue kifikra kwa kuachana na vurugu.
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Jumuiya ya umoja wa vijana (UVCCM) yawaonya viongozi CCM mkoa kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao
Katibu Mkuu wa UVCCM Wilaya ya Mkalama Florian Panga akizungumza kwenye kikao hicho.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana (UVCCM) imewataka viongozi mbalimbali wa CCM Mkoa wa Singida kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao binafsi kwani kufanya hivyo ni kuleta mpasuko na makundi miongoni mwao.
Changamoto hiyo imetolewa Wilayani hapa na Katibu Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhani Kapeto wakati akifunga kambi ya vijana wa Wilaya ya Mkalama ya siku saba kwenye shule ya...
11 years ago
Habarileo11 Dec
'Vijana acheni utumwa wa vyama vya siasa'
VIJANA nchini wametakiwa kuachana na utumwa wa majina ya vyama vya siasa nakuanza kutafakari mustakabali wa Taifa. Aidha vijana na wazee kwa maslahi ya taifa wanatakiwa kuachana na siasa ya majitaka.
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
UVCCM: Vijana epukeni siasa za chokochoko
VIJANA nchini wametakiwa kuwaepuka wanasiasa wanaopandikiza chokochoko zinazoweza kuligawa na kuliingiza taifa katika misukosuko hatari na mapigano ya kijamii. Rai hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa...
10 years ago
MichuziVijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakutana Arusha kujadili Sera ya Vijana wa EAC