MKURUGENZI WA KIWANDA CHA MONABAN CHA JIJINI ARUSHA ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA VIJANA UVCCM MKOA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/3pLvNOioi1LERsqGd4TyOgteJoc_JR8QNknGzUgGymG4nq6BKwdjkad-xRw4lwHnLALBLwlFWyh8-iwNADWxw5Fq7oqGON4eL1bRDhmws8vF7Dz4TTsvQLk=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/001.jpg?w=627&h=835)
Mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha unga kilichopo jijini Arusha Bw. Philemon Mollel akiwa ameshililia ngao na mkuki ikiwa ni ishara ya kusimikwa rasmi kuwa kamanda wa vijana UVCCM Mkoa katika sherehe zilizofanyika juzi jijini Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama hicho. Bw. Philemon Mollel akivishwa taji.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Jun
MKURUGENZI WA KIWANDA CHA MONABAN CHA JIJINI ARUSHA ASIMIKWA RASMI KUWA KAMANDA WA VIJANA UVCCM MKOA
![003](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/YtB2jjZr5nQfsQ2LNacvN5NLdHaCEb7_UuLf2nO8iaGhpP9avP9Hbsfqpt5huO_c-0ZGjaK07N3FfVwx69cIboxU0CSRz1OEeEje99ZOkIdO-oysss4A96Na=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/0031.jpg?w=627&h=470)
![002](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/SkWOW3NTuZluh3oEC6sRrJnD3J51AwZH_dK3F8QVsJfjIE0O8B-mlNuNssgKexludiee-Arg8Yc5HZmZeSEkJzYIXVZyV-vNkRiHjnEojMpUDaKJF2AwrbI=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/002.jpg?w=627&h=470)
![001](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/3pLvNOioi1LERsqGd4TyOgteJoc_JR8QNknGzUgGymG4nq6BKwdjkad-xRw4lwHnLALBLwlFWyh8-iwNADWxw5Fq7oqGON4eL1bRDhmws8vF7Dz4TTsvQLk=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/001.jpg?w=627&h=835)
11 years ago
MichuziMhe. Kairuki asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Same
11 years ago
Dewji Blog16 Apr
Angellah Kairuki asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Same
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana (UVCCM, Ndg. Sixtus Mapunda akimkabidhiMhe. Angellah Kairuki (MB), Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, nyenzo za vitendea kazi za kimila wakati wakusimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM wa Wilaya ya Same.
Katibu Mkuu wa Umojawa Vijana (UVCCM), Ndg. Sixtus Mapunda akimweleza majukumu ya Kamanda wa Vijana Mhe. Angellah Kairuki kabla ya kusimikwa kuwa Kamanda wa UV CCM wa Wilaya ya Same.
Mhe. Kairuki akila kiapo cha Kamanda Mpya wa UVCCM wa Wilaya ya Same wakati wa...
11 years ago
MichuziTONNY NGOMBALE MWIRU ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA UVCCM
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
10 years ago
MichuziJUMUIYA YA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM) MKOA WA KILIMANJARO WAKUTANA JIMBO LA VUNJO
5 years ago
Michuzi11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Samwel Nakei, aapishwa kuwa kamanda wa UVCCM wilaya mpya ya Mkalama, Mkoani Singida aahidi kuleta neema kwa Vijana
Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhan Kapeto akimwapishwa Samwel Nakei kuwa kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mkalama jana.
Samweli Nakei akila kiapo cha kuwa Kamanda wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama.
Na Hillary Shoo, MKALAMA
VIJANA Wilayani Mkalama Mkoani Singida wametakiwa kujiunga kwenye vikundi mbalimbali vya ujasiriamali ili waweze kukopesheka kirahisi badala ya mtu mmoja mmoja.
Changamoto hiyo imetolewa jana Wilayani hapa na Kamanda Mpya ya Umoja wa vijana wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama,...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KILIMO AZINDUA KIWANDA KIPYA CHA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAHINDI JIJINI ARUSHA
Uzinduzi huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula Godifrey Zambi ambaye alifungua rasmi kiwanda hicho ,Amesema kuwa tasnia ya mbegu ni tasnia muhimu katika ukuaji wa sekta ya kilimo hiyo amewataka wazalishaji mbegu kuongeza tija ili kukuza kilimo.
Ameeleza kuwa kampuni hiyo imetimiza matakwa ya serikali...