NAIBU WAZIRI WA KILIMO AZINDUA KIWANDA KIPYA CHA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAHINDI JIJINI ARUSHA
Kampuni ya mbegu ya Seedco imezindua kiwanda kipya cha kuzalisha mbegu bora za mahindi na nafaka nyingine kitakachowasaidia wakulima kulima kilimo chenye tija na kupata mazao mengi.
Uzinduzi huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula Godifrey Zambi ambaye alifungua rasmi kiwanda hicho ,Amesema kuwa tasnia ya mbegu ni tasnia muhimu katika ukuaji wa sekta ya kilimo hiyo amewataka wazalishaji mbegu kuongeza tija ili kukuza kilimo.
Ameeleza kuwa kampuni hiyo imetimiza matakwa ya serikali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi24 Apr
WIZARA YA KILIMO KUSHIRIKIANA NA SUA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAZAO
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/15cf33f3-3818-4b4d-8d3e-833ea75fd766.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiongea wakati akikagua shamba darasa la zao la chai alipotembelea Chuo Kikuu cha Sokoine leo mjini Morogoro.Kulia kwake ni Dkt.Kudra Abdul Mkuu wa Idara ya Mimea Vipande na Kilimo cha Bustani.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_1316-1.jpg)
atibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche wa nanasi wakati alipokagua shamba darasa la kufundishia wanafunzi chuo Kikuu cha Sokoine leo mjini Morogoro.Kushoto ni Bw.Ramadhani Omari Mhadhiri wa mafunzo ya bustani na wa kwanza kulia ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-530SPh8kXCs/Xr1MqS80xgI/AAAAAAALqPA/69ZjwylDxVsIyVX7ycjr6-NSEGibQbJVQCLcBGAsYHQ/s72-c/6c5cc8f0-91c2-485e-a791-64bfa445b0be.jpg)
RC Shigella atembelea kiwanda kipya cha kuzalisha kadi za Kieletroniki
SERIKALI imetakiwa kuweka utaratibu utakaowezesha taasisi za Umma na watu binafsi, kuacha kuagiza kadi za kielektroniki nje ya nchi na badala yake watumie zinazozalishwa nchini ili kujenga uchumi wa viwanda.
Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martine Shigella, alitoa pendekezo hilo wakati alipotembea kiwanda kipya cha kuzalisha vocha na kadi mbalimbali kinachojulikana kwa jina Rushabh Investment Ltd kilichopo Jijini Tanga.
Alisema akiwa kiongozi wa mkoa huo, atashawishi Serikali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2818-2048x1365.jpg)
WIZARA YA KILIMO YAWAPONGEZA WATAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI KWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2818-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2783.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi uliozalishwa na Kituo cha utafiti TARI Kihinga mkoa wa Kigoma leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2804.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akikagua kitalu cha miche bora ya zao la michikichi katika Gereza Kwitanga mkoa wa Kigoma leo alipotembelea kuona utekelezaji wa...
9 years ago
StarTV11 Nov
Mwinyi azindua kiwanda cha  zana za kilimo, ujenzi
Rais mstaafu wa awamu ya Pili Ally Hassan Mwinyi amezindua kiwanda cha kuuza dhana bora za kilimo na ujenzi zitakazokuwa zinauzwa hapa nchini kwenye Kiwanda cha AVIC-SHANTUI Tanzania Limited kitakachomilikiwa na ndugu na rafiki wa muda mrefu wa Tanzania kutoka China.
Matarajio ya baadaye ya Kiwanda hicho ni kuzalisha bidhaa hapa hapa nchini kwa kutumia chuma kutengeneza dhana mbalimbali za Kilimo pamoja na vifaa vya ujenzi hali itakayochangia kukuza uchumi wa Taifa.
Rais Mwinyi amewataka...
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Watakiwa kuzalisha mbegu bora
NAIBU Waziri wa Kilimo na Chakula, Godfrey Zambi, amewataka wazalishaji wa mbegu kuhakikisha kuwa wanazalisha mbegu bora zinazozingatia viwango ili kukuza sekta ya kilimo na kuleta mapinduzi ya kijani. Zambi,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s72-c/image_3.jpeg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AZINDUA "MAGEREZA DUTY FREE SHOP" PAMOJA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA MABAKULI YA WAFUNGWA GEREZA UKONGA, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s1600/image_3.jpeg)
5 years ago
MichuziTunapaswa kujivunia kwa kuongeza eneo la uzalishaji wa mbegu, miche bora pamoja usajili wa Wakulima na watoa huduma za kilimo – Waziri Hasunga
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-D-icBa96bjg/VL7eQ88WH-I/AAAAAAAG-jA/MiZqFGdxw4E/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Naibu Waziri Mhagama avutiwa na kituo cha kuzalisha Umeme Vijijini cha Kikuletwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-D-icBa96bjg/VL7eQ88WH-I/AAAAAAAG-jA/MiZqFGdxw4E/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zHNYm1OQzLE/VL7eQoHV05I/AAAAAAAG-i8/zhnGwvWTzHM/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0U22-QY_ncs/VL7eQpXIzqI/AAAAAAAG-jE/nkgXacY-owA/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s72-c/unnamed1.png)
WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s640/unnamed1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GQIHnvEBqLo/VfEt6qqo16I/AAAAAAAAg8U/uUfNajb-U_c/s640/unnamed.png)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10