WIZARA YA KILIMO KUSHIRIKIANA NA SUA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAZAO
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiongea wakati akikagua shamba darasa la zao la chai alipotembelea Chuo Kikuu cha Sokoine leo mjini Morogoro.Kulia kwake ni Dkt.Kudra Abdul Mkuu wa Idara ya Mimea Vipande na Kilimo cha Bustani.
atibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche wa nanasi wakati alipokagua shamba darasa la kufundishia wanafunzi chuo Kikuu cha Sokoine leo mjini Morogoro.Kushoto ni Bw.Ramadhani Omari Mhadhiri wa mafunzo ya bustani na wa kwanza kulia ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2818-2048x1365.jpg)
WIZARA YA KILIMO YAWAPONGEZA WATAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI KWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2818-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2783.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi uliozalishwa na Kituo cha utafiti TARI Kihinga mkoa wa Kigoma leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2804.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akikagua kitalu cha miche bora ya zao la michikichi katika Gereza Kwitanga mkoa wa Kigoma leo alipotembelea kuona utekelezaji wa...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KILIMO AZINDUA KIWANDA KIPYA CHA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAHINDI JIJINI ARUSHA
Uzinduzi huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula Godifrey Zambi ambaye alifungua rasmi kiwanda hicho ,Amesema kuwa tasnia ya mbegu ni tasnia muhimu katika ukuaji wa sekta ya kilimo hiyo amewataka wazalishaji mbegu kuongeza tija ili kukuza kilimo.
Ameeleza kuwa kampuni hiyo imetimiza matakwa ya serikali...
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Watakiwa kuzalisha mbegu bora
NAIBU Waziri wa Kilimo na Chakula, Godfrey Zambi, amewataka wazalishaji wa mbegu kuhakikisha kuwa wanazalisha mbegu bora zinazozingatia viwango ili kukuza sekta ya kilimo na kuleta mapinduzi ya kijani. Zambi,...
10 years ago
MichuziWatanzania waaswa kutumia teknolojia mpya na za kisasa kuzalisha mazao na sekta nzima ya kilimo
11 years ago
Dewji Blog21 May
Makampuni ya utafiti yashauriwa kuongeza bidii kupata mbegu bora za kilimo
Na Nathaniel Limu, Singida
MAKAMPUNI yanayojishughulisha na tafiti mbali mbali za nafaka yameshauriwa kuongeza juhudi zaidi ili kupata mbegu bora zitakazowasaidia wakulima kupata chakula cha kutosha na kujikomboa kiuchumi.
Wito huo umetolewa hivi karibuni na Diwani wa Kata ya Mwasauya (CCM) tarafa ya Ilongero wilaya ya Singida, Seleman Ntandu wakati akizungumza kwenye kilele cha sherehe za wakulima wa kata ya Ikhanoda na Mwasauya.
Amesema ili kilimo kiweze kuwa na tija kwa wakulima hasa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aNcalT9xN5w/Voobc6j-2YI/AAAAAAAIQIE/IwHjoAYGM2A/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
WIZARA TATU ZASHAURIWA KUSHIRIKIANA KUMALIZA TATIZO LA KUKAUKA NA KUPUNGU KWA MAJI MABWAWA YA KUZALISHA UMEME NCHINI
pia wadau hao wameshauri taasisi zote ikiwemo wizara ya nishati na madini,wizara ya kilimo , mifugo na uvuvi, wizara ya maji na umwagiliaji pamoja na bonde la mto Rufiji zinazotumia rasilimali maji katika...
5 years ago
MichuziTunapaswa kujivunia kwa kuongeza eneo la uzalishaji wa mbegu, miche bora pamoja usajili wa Wakulima na watoa huduma za kilimo – Waziri Hasunga
10 years ago
MichuziTAARIFA KUHUSU KUIDHINISHWA KUTUMIKA KWA AINA MPYA ZA MBEGU ZA MAZAO
11 years ago
Dewji Blog20 May
Wakala wa mbegu kutekeleza ahadi ya Rais ya kuzalisha mchele tani 1.5 milioni
Na Nathaniel Limu, Babati
WAKALA wa Mbegu za Kilimo wa Taifa (ASA) umejiwekea mikakati madhubuti ya kuhakikisha ifikapo mwaka 2015, uzalishaji wa mchele nchini uwe umefikia tani 1.5 milioni ili kutekeleza agizo alilotoa Rais Jakaya Kikwete.
Hayo yamesemwa hivi karibuni na Meneja Masoko na Usambazaji ASA,Philemon Kawamala kwa nyakati tofauti wakati akikagua mashamba darasa ya mazao ya alizeti,mtama,uwele,mahindi,mpunga wa mabondeni na ule wa mpunga mpya ambao unalimwa kwenye ardhi ya nyanda...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10