Watakiwa kuzalisha mbegu bora
NAIBU Waziri wa Kilimo na Chakula, Godfrey Zambi, amewataka wazalishaji wa mbegu kuhakikisha kuwa wanazalisha mbegu bora zinazozingatia viwango ili kukuza sekta ya kilimo na kuleta mapinduzi ya kijani. Zambi,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi24 Apr
WIZARA YA KILIMO KUSHIRIKIANA NA SUA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAZAO
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/15cf33f3-3818-4b4d-8d3e-833ea75fd766.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiongea wakati akikagua shamba darasa la zao la chai alipotembelea Chuo Kikuu cha Sokoine leo mjini Morogoro.Kulia kwake ni Dkt.Kudra Abdul Mkuu wa Idara ya Mimea Vipande na Kilimo cha Bustani.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_1316-1.jpg)
atibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche wa nanasi wakati alipokagua shamba darasa la kufundishia wanafunzi chuo Kikuu cha Sokoine leo mjini Morogoro.Kushoto ni Bw.Ramadhani Omari Mhadhiri wa mafunzo ya bustani na wa kwanza kulia ni...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KILIMO AZINDUA KIWANDA KIPYA CHA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAHINDI JIJINI ARUSHA
Uzinduzi huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula Godifrey Zambi ambaye alifungua rasmi kiwanda hicho ,Amesema kuwa tasnia ya mbegu ni tasnia muhimu katika ukuaji wa sekta ya kilimo hiyo amewataka wazalishaji mbegu kuongeza tija ili kukuza kilimo.
Ameeleza kuwa kampuni hiyo imetimiza matakwa ya serikali...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Wafugaji watakiwa kuzalisha mifugo bora
SERIKALI imewataka wafugaji kuzalisha mifugo bora na kuivuna kwa wakati, ili kukidhi mahitaji ya viwanda vya kusindika nyama vilivyopo. Wito huo ulitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Mendeleo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2818-2048x1365.jpg)
WIZARA YA KILIMO YAWAPONGEZA WATAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI KWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2818-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2783.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi uliozalishwa na Kituo cha utafiti TARI Kihinga mkoa wa Kigoma leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2804.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akikagua kitalu cha miche bora ya zao la michikichi katika Gereza Kwitanga mkoa wa Kigoma leo alipotembelea kuona utekelezaji wa...
11 years ago
Dewji Blog20 May
Wakala wa mbegu kutekeleza ahadi ya Rais ya kuzalisha mchele tani 1.5 milioni
Na Nathaniel Limu, Babati
WAKALA wa Mbegu za Kilimo wa Taifa (ASA) umejiwekea mikakati madhubuti ya kuhakikisha ifikapo mwaka 2015, uzalishaji wa mchele nchini uwe umefikia tani 1.5 milioni ili kutekeleza agizo alilotoa Rais Jakaya Kikwete.
Hayo yamesemwa hivi karibuni na Meneja Masoko na Usambazaji ASA,Philemon Kawamala kwa nyakati tofauti wakati akikagua mashamba darasa ya mazao ya alizeti,mtama,uwele,mahindi,mpunga wa mabondeni na ule wa mpunga mpya ambao unalimwa kwenye ardhi ya nyanda...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Uzalishaji wa mbegu bora tatizo - Rais Kikwete
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N2Jl4z3JkXc/XqsfLtNmqBI/AAAAAAALot4/oDvwomBLQI8m0nwtQ5dSlSoVkFR3D8lCQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2351-2048x1365.jpg)
TARI UKIRIGURU YAGUNDUA AINA 10 ZA MBEGU BORA ZA PAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-N2Jl4z3JkXc/XqsfLtNmqBI/AAAAAAALot4/oDvwomBLQI8m0nwtQ5dSlSoVkFR3D8lCQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2351-2048x1365.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa tai) akipata maelezo ya aina za mbegu bora ya pamba zilizogunduliwa na Kituo cha TARI Ukiriguru mkoa wa Mwanza leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_2325.jpg)
Katibu Mkuu Wizara Kilimo Bw.Gerald Kusaya (katikati) akiongea na watumishi wa Chuo cha Mafunzo ya Kilimo MATI Ukiriguru alipofanya ziara ya kukagua utendaji kazi wa chuo hicho leo wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_2327.jpg)
Watumishi wa chuo cha Kilimo MATI Ukiriguru wilaya ya Misungwi wakimsikiliza Katibu Mkuu ( hayupo pichani)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cf7uWKrJw/Xrwc1JJxUqI/AAAAAAALqHs/IKB7_jZ5xt8mghTG6FUvitS7RAcy-Yh-ACLcBGAsYHQ/s72-c/e3d90c34-c4f9-49f2-9c8a-81296ceb6de4.jpg)
WAMILIKI WA VIWANDA WATAKIWA KUZALISHA VIFAA KINGA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cf7uWKrJw/Xrwc1JJxUqI/AAAAAAALqHs/IKB7_jZ5xt8mghTG6FUvitS7RAcy-Yh-ACLcBGAsYHQ/s640/e3d90c34-c4f9-49f2-9c8a-81296ceb6de4.jpg)
Wazalishaji wa dawa,vifaa na vifaa tiba wakionesha nguo ya kujikinga ambayo itaanza kutengeneza na baadhi ya viwanda nchini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2274dd97-37b1-4b32-afdd-4bfc21fef3f5.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu na Waziri Innocent Bashungwa wakiwa kwenye kikao na Umoja wa wazalishaji wa Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba wakati wa mkutano huo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5431ae9f-4e6c-404b-99fb-cc59a3b409a5.jpg)
Waziri wa afya, maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiongea na Umoja wa Wazalishaji Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba (TPMA) nchini wakati wa kikao cha kujadili namna ya uzalishaji wa vifaa kinga vya kukabiliana na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s72-c/unnamed1.png)
WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ReWAHhR8tT4/VfEt5sn-S1I/AAAAAAAAg8M/fivyOWmwPsY/s640/unnamed1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GQIHnvEBqLo/VfEt6qqo16I/AAAAAAAAg8U/uUfNajb-U_c/s640/unnamed.png)