WIZARA TATU ZASHAURIWA KUSHIRIKIANA KUMALIZA TATIZO LA KUKAUKA NA KUPUNGU KWA MAJI MABWAWA YA KUZALISHA UMEME NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aNcalT9xN5w/Voobc6j-2YI/AAAAAAAIQIE/IwHjoAYGM2A/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
Picha za mitambo ya kuzalisha umeme na wadau wa maji waliotembelea maeneo ya mito na kugundua baadhi ya njia za asili za mito inayomwaga maji yake kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme imezibwa. kitendo hicho kinadaiwa kuathiri utiririshaji wa maji katika mabwawa ya kuzalisha umeme.
pia wadau hao wameshauri taasisi zote ikiwemo wizara ya nishati na madini,wizara ya kilimo , mifugo na uvuvi, wizara ya maji na umwagiliaji pamoja na bonde la mto Rufiji zinazotumia rasilimali maji katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-l7Ak3xP7bzk/Voi9eFYY3VI/AAAAAAADEbo/S6K9po0qQMc/s72-c/PICHA%2BNO%2B6.jpg)
TIMU YA WATAALAM KUTOKA WIZARA TATU ZATEMBELEA VYANZO VYA MAJI YA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME
![](http://4.bp.blogspot.com/-l7Ak3xP7bzk/Voi9eFYY3VI/AAAAAAADEbo/S6K9po0qQMc/s640/PICHA%2BNO%2B6.jpg)
Timu ya wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini,Wizara ya kilimo, mifugo na Uvuvi ,Wizara ya maji, na Umwagiliaji , Shirika l Umeme Tanzania (Tanesco ) pamoja na Watalamu wa bonde la mto...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-M3f85VPN05o/Vojg_IygRwI/AAAAAAAIQC4/3IGiGJ1DTnU/s72-c/PICHA%2BNO%2B1.jpg)
WATAALAMU WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI YA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LiKoXW_Qvyo/VgpxyjY1sMI/AAAAAAAH7ug/8F9WQubczhs/s72-c/1b.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA HAFLA YA UCHANGISHAJI FEDHA KWA AJILI YA UHIFADHI WA VYANZO VYA MAJI KATIKA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME YA MTERA, KIHANSI, KIDATU, NYUMBA YA MUNGU NA PANGANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-LiKoXW_Qvyo/VgpxyjY1sMI/AAAAAAAH7ug/8F9WQubczhs/s640/1b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-loDv1slsg_g/Vgpxy_YFZlI/AAAAAAAH7uo/9VFKPRBVUdU/s640/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa Mabibo Beer, Wines & Spirits na...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-e_ea88__Mho/Ve77a1_uclI/AAAAAAAAZC0/iq98mO0H9y8/s72-c/image.jpg)
MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI
![](http://3.bp.blogspot.com/-e_ea88__Mho/Ve77a1_uclI/AAAAAAAAZC0/iq98mO0H9y8/s640/image.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rups_Hne-zA/Ve77aV3939I/AAAAAAAAZCw/hrzXaN8fl3Y/s640/image%2B%25284%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xLplcO_mPho/Ve7IKHam0_I/AAAAAAAH3U0/mKfzCxRPF2o/s72-c/image.jpg)
MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-xLplcO_mPho/Ve7IKHam0_I/AAAAAAAH3U0/mKfzCxRPF2o/s640/image.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-87t8BPsBISg/Ve7IKOrh-GI/AAAAAAAH3U4/PXZoXUDJEwA/s640/image_3.jpg)
10 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yatembelea Bwawa la Kuzalisha Umeme la Merowe,nchini Sudan
Mradi wa Bwawa la Merowe ni mkubwa katika nchi ya Sudan na mbali na kuzalisha umeme, pia unatumika kwa shughuli za kilimo cha umwagiliaji ambacho kwa aslimia mia kinategemea Mto Nile.
Aidha, mradi wa bwawa hilo pia umechangia kuleta...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tanesco-16Sept2015.png)
Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.
Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...
11 years ago
MichuziTOTAL YAZINDUA AWANGO KUMALIZA TATIZO LA UPATIKANAJI WA UMEME KWA WATU WA KIPATO CHA CHINI TANZANIA
9 years ago
MichuziZIARA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI KWENYE KITUO CHA KUZALISHA UMEME KWA NGUVU YA MAJI, MTERA
Akielezea hali halisi aliyoiona kituoni hapo, Profesa Muhongo alisema kwa wakati huu kituo hicho cha Mtera hakizalishi umeme wa kiasi chochote huku akitaja sababu kuwa ni upungufu wa maji uliosababishwa na matumizi mabaya ya maji ya Bwawa hilo.
Profesa Muhongo alisema njia bora ya utatuzi wa upungufu wa maji kwenye bwawa hilo...