TOTAL YAZINDUA AWANGO KUMALIZA TATIZO LA UPATIKANAJI WA UMEME KWA WATU WA KIPATO CHA CHINI TANZANIA
Mgeni rasmi, Waziri wa Nishati na Madini, Mh. Prof. Sospeter Muhongo akihutubia wageni waalikwa (hawapo pichani) waliohudhuria katika hafla ya uzinduzi wa bidhaa za AWANGO uliofanyika ndani ya hoteli ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam, usiku wa jana. Waziri Muhongo aliwapongeza TOTAL kwa juhudi wanazozifanya kusaidia jamii ya Watanzania kupata chanzo cha nishati kitakachowaletea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Pembeni ni baadhi ya bidhaa hizo zinazotumia nishati ya jua.
Waziri wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBENKI YA EQUITY KUTOA MIKOPO YA MAJI KWA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aNcalT9xN5w/Voobc6j-2YI/AAAAAAAIQIE/IwHjoAYGM2A/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
WIZARA TATU ZASHAURIWA KUSHIRIKIANA KUMALIZA TATIZO LA KUKAUKA NA KUPUNGU KWA MAJI MABWAWA YA KUZALISHA UMEME NCHINI
pia wadau hao wameshauri taasisi zote ikiwemo wizara ya nishati na madini,wizara ya kilimo , mifugo na uvuvi, wizara ya maji na umwagiliaji pamoja na bonde la mto Rufiji zinazotumia rasilimali maji katika...
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Tanesco: Kuna tatizo la upatikanaji umeme wa Luku
5 years ago
MichuziRADIO FARAJA YAKABIDHI MSAADA KWA KAYA ZENYE KIPATO CHA CHINI KATIKA MANISPAA YA SHINYANGA
Na Simeo Makoba - Shinyanga.
Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Shinyanga Emmanuel Ng’habi amekabidhi msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula na fedha taslimu kwa wazee wasiojiweza ambayo imechangwa na wadau mbalimbali wa Radio Faraja Fm Stereo iliyopo Mjini Shinyanga.
Ng'habi aliyekuwa ameongozana na Mwenyekiti wa Wenyeviti wa serikali za mitaa Manispaa ya Shinyanga Nassor Warioba na Wafanyakazi wa Radio Faraja Fm Stereo amekabidhi msaada huo Jumamosi Mei 16,2020.
Baadhi ya misaada...
5 years ago
MichuziGENERAL PETROLEM (GP) YATOA MSAADA WA VYAKULA KUWASAIDIA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI TEMEKE
Katibu Tarafa ya Mbagala Bertha Minga(katikati) ambaye amemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Felix Lihaniva akipokea msaada wa vyakula mbalimbali kutoka kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya General Petroleum (GP) Zafar Khan(kulia) pamoja na ofisa mwingine wa kampuni hiyo.Msaada huo wa vyakula unakwenda kutolewa kwa wananchi wenye kipato cha chini ndani ya Wilaya hiyo.
Bertha Minga ambaye ni Katibu Tarafa ya Mbagala jijini Dar es Salaam(kushoto) akiwa na Meneja Mauzo wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kPY0h8AmZWs/VkCVy6N2yaI/AAAAAAAAmRc/iARdKu0zJ7M/s72-c/a.jpg)
TOTAL TANZANIA YAZINDUA SHINDANO LA “STARTUPPER OF THE YEAR BY TOTALâ€
![](http://4.bp.blogspot.com/-kPY0h8AmZWs/VkCVy6N2yaI/AAAAAAAAmRc/iARdKu0zJ7M/s640/a.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d9hkFcQWIX0/VkCcnmhCREI/AAAAAAAAmR0/GALaoTz0t9E/s640/IMG_20151109_114552.jpg)
KAMPUNI ya Total ya Tanzania, imezindua Shindano la Total «Startupper of the year by Total», lililobuniwa na kundi la Makampuni ya Total litakaloshirikisha nchi 34 za Afrika kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rXuvavLoIb4/VK54QedsnKI/AAAAAAAG790/xQmWaJrn75I/s72-c/001.BIMAAFYA.jpg)
Jubilee Insurance kutumia M-PESA kuwawezesha mamilioni ya watanzania wenye kipato cha chini kujiunga na bima ya Afya
![](http://1.bp.blogspot.com/-rXuvavLoIb4/VK54QedsnKI/AAAAAAAG790/xQmWaJrn75I/s1600/001.BIMAAFYA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tSbge1RnWpQ2lInwXPvXYufvxIlEBNvYzhhe8MKeNYAfLmfe6t5RcdMf2rQedpAgiM7J9VSbQnB15yVeQ7FcbDf/001.BIMAAFYA.jpg?width=750)
JUBILEE INSURANCE KUTUMIA M-PESA KUWAWEZESHA MAMILIONI YA WATANZANIA WENYE KIPATO CHA CHINI KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Wafanyakazi wa kipato cha chini Kenya kama kama Esther wahofia