GENERAL PETROLEM (GP) YATOA MSAADA WA VYAKULA KUWASAIDIA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI TEMEKE
Katibu Tarafa ya Mbagala Bertha Minga(katikati) ambaye amemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Felix Lihaniva akipokea msaada wa vyakula mbalimbali kutoka kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya General Petroleum (GP) Zafar Khan(kulia) pamoja na ofisa mwingine wa kampuni hiyo.Msaada huo wa vyakula unakwenda kutolewa kwa wananchi wenye kipato cha chini ndani ya Wilaya hiyo.
Bertha Minga ambaye ni Katibu Tarafa ya Mbagala jijini Dar es Salaam(kushoto) akiwa na Meneja Mauzo wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBENKI YA EQUITY KUTOA MIKOPO YA MAJI KWA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI
5 years ago
MichuziRADIO FARAJA YAKABIDHI MSAADA KWA KAYA ZENYE KIPATO CHA CHINI KATIKA MANISPAA YA SHINYANGA
Na Simeo Makoba - Shinyanga.
Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Shinyanga Emmanuel Ng’habi amekabidhi msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula na fedha taslimu kwa wazee wasiojiweza ambayo imechangwa na wadau mbalimbali wa Radio Faraja Fm Stereo iliyopo Mjini Shinyanga.
Ng'habi aliyekuwa ameongozana na Mwenyekiti wa Wenyeviti wa serikali za mitaa Manispaa ya Shinyanga Nassor Warioba na Wafanyakazi wa Radio Faraja Fm Stereo amekabidhi msaada huo Jumamosi Mei 16,2020.
Baadhi ya misaada...
10 years ago
Bongo520 Dec
Picha: Mkubwa na Wanawe yatoa msaada kwa kituo cha watoto yatima Temeke
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Dahwl0tvOFM/VJWMKIVa1YI/AAAAAAAG4pM/9X-vL1knejo/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
High Class Look na Mkubwa na Wanawe Yatoa Msaada kwa kituo cha Watoto Yatima temeke
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mtemvu atoa msaada wa tani 5 za vyakula kwa vikundi vya wasio na uwezo Temeke, Dar
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu, akimkabidhi msaada wa vyakula, Beatrice Mgomele wa Makao ya Taifa, Kurasini, Dar es Salaam, wakati wa hafla ya Mtemvu kukabidhi msaada wa tani tano ya vyakula kwa vituo na vya watoto wanaoishi latika, mazingira magumu na wasiojiweza, leo Julai 13, 2014, Temeke, Dar es Salaam.
Hamisi Ally wa Kituo cha Dar Alqama, Tandika akipokea msaada huo wa vyakula kwa niaba ya kituo hicho.
Mtemvu akimkabidhi, Aminajaat Kilemia wa Kituo cha Hiari Chang’ombe msaada wa...
11 years ago
Michuzi09 Jul
KAMPUNI YA MEGATRADE YATOA MSAADA YA VYAKULA MASHULENI
![C](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/EZvcrJvcURDKlPMdvyhHOoh3RjyP1Ew6_-XGT4gADJP13xm3_vchQa-_pZrhLWkczEEZ_sQd5tpD7POp4r4wSvkHbpfxY2u4m2ibex_NJBhuigVRC0Xy=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/c.jpg?w=627&h=470)
10 years ago
MichuziZANTEL YATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAZEE Z'BAR
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Zantel yatoa msaada wa vyakula kwa jumuiya ya wazee wa Zanzibar
NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii , Vijana , Wanawake na Watoto, Nd. Msham Juma Khamis akimkabidhi msaada , Pili Ahmada wakati wa makabidhiano ya msaada wa vyakula uliotolewa na Kampuni ya simu ya Zantel kwa wazee mbali mbali wa Zanzibar, kulia Mkurugenzi wa Biashara wa Zantel Zanzibar, makabidhiano hayo yalifanyika jana Kibanda maiti.
Naibu Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazee Zanzibar (JUWAZA), Mwadini Kutenga akiwakaribisha wageni wakati wa shughuli ya makabidhino ya...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Clouds yatoa msaada hospitali Temeke
KAMPUNI ya Clouds Media Group imetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam. Akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo ambavyo vitatumika kwa wajawazito na wagonjwa...