MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI
![](http://3.bp.blogspot.com/-e_ea88__Mho/Ve77a1_uclI/AAAAAAAAZC0/iq98mO0H9y8/s72-c/image.jpg)
Mratibu wa Mradi wa kuzalisha gesi ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa 4 katika fani ya Uhandisi wa Mazingira, Chuo Kikuu cha Ardhi John Rutahirwa Akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu moja ya mtambo wa kukusanyia maji taka kutoka majumbani eneo la mradi wa kuzalisha gesi Vingunguti.Gesi hiyo itaanza kutumika mwezi Desemba mwaka huu.
Mtaalam anayehusika na ujenzi, mafunzo na usimamizi wa mfumo wa mradi wa kuzalisha Gesi Vingunguti ambaye pia ni mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xLplcO_mPho/Ve7IKHam0_I/AAAAAAAH3U0/mKfzCxRPF2o/s72-c/image.jpg)
MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-xLplcO_mPho/Ve7IKHam0_I/AAAAAAAH3U0/mKfzCxRPF2o/s640/image.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-87t8BPsBISg/Ve7IKOrh-GI/AAAAAAAH3U4/PXZoXUDJEwA/s640/image_3.jpg)
9 years ago
Habarileo09 Sep
Mabwawa Vingunguti kuanza kuzalisha gesi
WAKAZI wa Mtaa wa Mjimpya, kata ya Vingunguti, Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wako mbioni kuanza kunufaika na mradi wa uzalishaji wa gesi inayotokana na majitaka ya vyoo vyao na yale ya yaliyo katika mabwawa makubwa ya kuhifadhia maji taka yaliyo katika eneo hilo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nP_8qHCaBlI/XqwVqj1gW1I/AAAAAAAAQtU/Pfl4ThRmBr4zqlMCVSf3_HW9LwbKhTvfQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200427_102050_172.jpg)
TAKUKURU KUCHUNGUZA MKANDARASI KWANINI ALIBADILI UZANIFU WA MABWAWA YA MAJI TAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nP_8qHCaBlI/XqwVqj1gW1I/AAAAAAAAQtU/Pfl4ThRmBr4zqlMCVSf3_HW9LwbKhTvfQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200427_102050_172.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Mjini Gabriel Daqqaro akisonyeshwa ramani ya alipotembelea ujenzi wa Tenki la maji Murriet wa kwanza ni Mkndarasi wa mradi huo,Mtaalam na Mashauri wa mradi,wa kwanza kulia ni Katibu tawala wa wilaya,Mkurugenzi Mtendaji AUWSA Mhandisi Justine Rujomba
![](https://1.bp.blogspot.com/-keNgvoOC6tQ/XqwWRKVeI4I/AAAAAAAAQtc/uegxXcinre8lO6Cje3QX1tTv72xJsw0KQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200427_112515_871%2B%25281%2529.jpg)
Daraja la kuvushia bomba River Crossing urefu wa mita 162 ambacho kipo Themi Njiro
![](https://1.bp.blogspot.com/-LQBcKglboz0/XqwGcBT3IWI/AAAAAAAAQtE/Cb8t09Ui7mM3pievZWQyDRlmCNSWvZXfACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200427_102135_396.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini Gabriel Daqqaro akiteta jambo na Mhandisi mshauri wa mradi kulia kwake ni Kimu Mkurugenzi mtendaji AUWSA...
10 years ago
Michuzi30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
![](https://2.bp.blogspot.com/-utueJlLvcrc/VAEFt9bWIqI/AAAAAAAAXXc/60Yejvxm-3s/s1600/Modesta%2BMushi.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dJAlQfjgYfw/VAEFtuoqMYI/AAAAAAAAXXY/p7ed-tfkWT8/s1600/Mhandishi%2BJohn%2BKirecha.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvLuGfe*gDKzGkS8WV63zi63mPHP0ygdvsL6YQSLKA0ozti-Qa--5S5foeXaGNOdC9o1ZprSQfrqcTnN1NDiQIGq/d1.jpg?width=650)
BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-M3f85VPN05o/Vojg_IygRwI/AAAAAAAIQC4/3IGiGJ1DTnU/s72-c/PICHA%2BNO%2B1.jpg)
WATAALAMU WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI YA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-l7Ak3xP7bzk/Voi9eFYY3VI/AAAAAAADEbo/S6K9po0qQMc/s72-c/PICHA%2BNO%2B6.jpg)
TIMU YA WATAALAM KUTOKA WIZARA TATU ZATEMBELEA VYANZO VYA MAJI YA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME
![](http://4.bp.blogspot.com/-l7Ak3xP7bzk/Voi9eFYY3VI/AAAAAAADEbo/S6K9po0qQMc/s640/PICHA%2BNO%2B6.jpg)
Timu ya wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini,Wizara ya kilimo, mifugo na Uvuvi ,Wizara ya maji, na Umwagiliaji , Shirika l Umeme Tanzania (Tanesco ) pamoja na Watalamu wa bonde la mto...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aNcalT9xN5w/Voobc6j-2YI/AAAAAAAIQIE/IwHjoAYGM2A/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
WIZARA TATU ZASHAURIWA KUSHIRIKIANA KUMALIZA TATIZO LA KUKAUKA NA KUPUNGU KWA MAJI MABWAWA YA KUZALISHA UMEME NCHINI
pia wadau hao wameshauri taasisi zote ikiwemo wizara ya nishati na madini,wizara ya kilimo , mifugo na uvuvi, wizara ya maji na umwagiliaji pamoja na bonde la mto Rufiji zinazotumia rasilimali maji katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B2.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MAZINGIRA MRADI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI NA ENEO LA KINYEREZI LINALOPITA BOMBA LA GESI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B2.jpg)
Waziriwa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiwaonyesha wanahabari (Hawapo pichani) bomba la Gesi ya Songas liloangukiwa na mawe kutokana na athari za uchimbaji mchanga katika eneo hilo. Picha Charles Kombe.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHO0xEyrwP0/Xt-VV8re63I/AAAAAAALtLw/wnJaJyXiuvE-w-B7l3C_uiSbxjG5SdKqQCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B1.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu (Kulia) akiambatana na Meya wa Manispaa ya Ilala Omari Kumbilamoto (wa pili kushoto) askari wa Ulinzi na viongozi wa ngazi mbalimbali za kiserikali alipofanya ziara...