TONNY NGOMBALE MWIRU ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA UVCCM
Mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi na Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar Shamsi Vuai Nahodha akimsimika Tonny Ngombale Mwiru kuwa kama wa UVCCM kata ya Kijitonyama.
Kamanda mpya wa Umoja wa Vijana kata ya Kijitonyama Tonny Ngombale Mwiru akiwapungia mkono wanachama wa CCM mara baada ya kusimikwa kuwa kamanda wa UVCCM kata ya Kijitonyama.
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM ambaye pia ni waziri kiongozi wa zamani wa SMZ Shamsi Vuai Nahodha,katibu wa UVCCM kata ya Kijitonyama Fatuma ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog16 Apr
Angellah Kairuki asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Same
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana (UVCCM, Ndg. Sixtus Mapunda akimkabidhiMhe. Angellah Kairuki (MB), Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, nyenzo za vitendea kazi za kimila wakati wakusimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM wa Wilaya ya Same.
Katibu Mkuu wa Umojawa Vijana (UVCCM), Ndg. Sixtus Mapunda akimweleza majukumu ya Kamanda wa Vijana Mhe. Angellah Kairuki kabla ya kusimikwa kuwa Kamanda wa UV CCM wa Wilaya ya Same.
Mhe. Kairuki akila kiapo cha Kamanda Mpya wa UVCCM wa Wilaya ya Same wakati wa...
11 years ago
MichuziMhe. Kairuki asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Same
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4PaQIUqd6VY/VdDpMYFpj8I/AAAAAAAC9rg/F1nLSucQOG8/s72-c/_MG_6403.jpg)
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) lamvua ukamanda Kinguge Ngombale Mwiru
![](http://2.bp.blogspot.com/-4PaQIUqd6VY/VdDpMYFpj8I/AAAAAAAC9rg/F1nLSucQOG8/s640/_MG_6403.jpg)
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1. Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana na tabia na mwenendo wake wa hivi karibuni kuenda tofauti na maadili na taratibu za CCM.
Aidha kikao kimetoa mapendekezo kwa vikao vya Chama Cha Mapinduzi kuuangangalia upya uanachama wake na...
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM) lampa ‘Mkono wa kwaheri’ Kingunge Ngombale Mwiru
Pichani ni picha ya Maktaba: Kingunge Ngombale Mwilu (kushoto) ambaye alikuwa Kamanda wa UVCCM Taifa mapema Agosti 16, amevuliwa nafasi hiyo na uongozi wa UVCCM Taifa kufuatia kikao chao kilichokaa jijini Dar es Salaam.
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1.Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana...
11 years ago
GPL![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/3pLvNOioi1LERsqGd4TyOgteJoc_JR8QNknGzUgGymG4nq6BKwdjkad-xRw4lwHnLALBLwlFWyh8-iwNADWxw5Fq7oqGON4eL1bRDhmws8vF7Dz4TTsvQLk=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/001.jpg?w=627&h=835)
MKURUGENZI WA KIWANDA CHA MONABAN CHA JIJINI ARUSHA ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA VIJANA UVCCM MKOA
11 years ago
Michuzi09 Jun
MKURUGENZI WA KIWANDA CHA MONABAN CHA JIJINI ARUSHA ASIMIKWA RASMI KUWA KAMANDA WA VIJANA UVCCM MKOA
![003](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/YtB2jjZr5nQfsQ2LNacvN5NLdHaCEb7_UuLf2nO8iaGhpP9avP9Hbsfqpt5huO_c-0ZGjaK07N3FfVwx69cIboxU0CSRz1OEeEje99ZOkIdO-oysss4A96Na=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/0031.jpg?w=627&h=470)
![002](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/SkWOW3NTuZluh3oEC6sRrJnD3J51AwZH_dK3F8QVsJfjIE0O8B-mlNuNssgKexludiee-Arg8Yc5HZmZeSEkJzYIXVZyV-vNkRiHjnEojMpUDaKJF2AwrbI=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/002.jpg?w=627&h=470)
![001](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/3pLvNOioi1LERsqGd4TyOgteJoc_JR8QNknGzUgGymG4nq6BKwdjkad-xRw4lwHnLALBLwlFWyh8-iwNADWxw5Fq7oqGON4eL1bRDhmws8vF7Dz4TTsvQLk=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/001.jpg?w=627&h=835)
10 years ago
GPLNINGEKUWA MIMI KINGUNGE NGOMBALE MWIRU, NINGEJITATHMINI KWANZA
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo
Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio
The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo10 Nov
Kingunge kuendelea kuwa Kamanda UVCCM
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), limempitisha mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwilu kuendelea kuwa kamanda wa umoja huo.