Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) lamvua ukamanda Kinguge Ngombale Mwiru
![](http://2.bp.blogspot.com/-4PaQIUqd6VY/VdDpMYFpj8I/AAAAAAAC9rg/F1nLSucQOG8/s72-c/_MG_6403.jpg)
Kingunge Ngombale Mwiru
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1. Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana na tabia na mwenendo wake wa hivi karibuni kuenda tofauti na maadili na taratibu za CCM.
Aidha kikao kimetoa mapendekezo kwa vikao vya Chama Cha Mapinduzi kuuangangalia upya uanachama wake na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM) lampa ‘Mkono wa kwaheri’ Kingunge Ngombale Mwiru
Pichani ni picha ya Maktaba: Kingunge Ngombale Mwilu (kushoto) ambaye alikuwa Kamanda wa UVCCM Taifa mapema Agosti 16, amevuliwa nafasi hiyo na uongozi wa UVCCM Taifa kufuatia kikao chao kilichokaa jijini Dar es Salaam.
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1.Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana...
11 years ago
MichuziTONNY NGOMBALE MWIRU ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA UVCCM
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/y3YvvKAEnxc/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo
Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio
The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Jumuiya ya umoja wa vijana (UVCCM) yawaonya viongozi CCM mkoa kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao
Katibu Mkuu wa UVCCM Wilaya ya Mkalama Florian Panga akizungumza kwenye kikao hicho.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana (UVCCM) imewataka viongozi mbalimbali wa CCM Mkoa wa Singida kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao binafsi kwani kufanya hivyo ni kuleta mpasuko na makundi miongoni mwao.
Changamoto hiyo imetolewa Wilayani hapa na Katibu Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhani Kapeto wakati akifunga kambi ya vijana wa Wilaya ya Mkalama ya siku saba kwenye shule ya...
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Chilolo aula ukamanda UVCCM Singida mjini, ataka mshikamano vijana na MO
Diana Chilolo (katikati) akila kiapo kuwa kamanda wa UVCCM manispaa ya Singida kwenye viwanja ofisi ya CCM mkoa wa Singida mjini Singida. Kulia ni katibu mkuu UVCCM taifa, Sixtus Mapunda ambaye alimwapicha Chilolo na kushoto ni kamanda msaidizi wa UVCCM manispaa ya Singida, Hassan Dumwala.
Na Nathaniel Limu
VIJANA waishio Jimbo la Singida Mjini, wameshauriwa kufanya kazi karibu na Mbunge wao, Mohammed Dewji ili kuharakisha upatikanaji maendeleo ya jimbo hilo, pamoja na ya kwao binafsi.
Wito...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ceO8E3fSMXc/Vc_8lb6pTAI/AAAAAAAAkH8/SkLLTy8c55k/s72-c/34.jpg)
JK AHUTUBIA BARAZA LA VIJANA WA CCM (UVCCM) JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ceO8E3fSMXc/Vc_8lb6pTAI/AAAAAAAAkH8/SkLLTy8c55k/s640/34.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-otTFsVFsXfQ/Vc_867xPwBI/AAAAAAAAkJE/raPIconcSNU/s640/32.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7TuZ-6tiMQw/Vc_80huRySI/AAAAAAAAkIc/ptA3cdagz5E/s640/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rY1KoXJ2fx4/Vc_83yVBuAI/AAAAAAAAkI0/iUmy3ltNCzk/s640/27.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-v5Gou1ZhZiM/Vc_9FnTIh5I/AAAAAAAAkJM/c8RtrnXrW00/s640/11.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WjpyqOgTsEs/VLpttFvXPGI/AAAAAAAAIEE/Zgv7SvYM2ls/s72-c/shaka.jpg)
TAARIFA YA UMOJA WA VIJANA WA CCM ( UVCCM) MAKAO MAKUU DAR ES SAALAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-WjpyqOgTsEs/VLpttFvXPGI/AAAAAAAAIEE/Zgv7SvYM2ls/s1600/shaka.jpg)
10 years ago
GPLNINGEKUWA MIMI KINGUNGE NGOMBALE MWIRU, NINGEJITATHMINI KWANZA