Jumuiya ya umoja wa vijana (UVCCM) yawaonya viongozi CCM mkoa kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao
Katibu Mkuu wa UVCCM Wilaya ya Mkalama Florian Panga akizungumza kwenye kikao hicho.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana (UVCCM) imewataka viongozi mbalimbali wa CCM Mkoa wa Singida kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao binafsi kwani kufanya hivyo ni kuleta mpasuko na makundi miongoni mwao.
Changamoto hiyo imetolewa Wilayani hapa na Katibu Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhani Kapeto wakati akifunga kambi ya vijana wa Wilaya ya Mkalama ya siku saba kwenye shule ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJUMUIYA YA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM) MKOA WA KILIMANJARO WAKUTANA JIMBO LA VUNJO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WjpyqOgTsEs/VLpttFvXPGI/AAAAAAAAIEE/Zgv7SvYM2ls/s72-c/shaka.jpg)
TAARIFA YA UMOJA WA VIJANA WA CCM ( UVCCM) MAKAO MAKUU DAR ES SAALAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-WjpyqOgTsEs/VLpttFvXPGI/AAAAAAAAIEE/Zgv7SvYM2ls/s1600/shaka.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Aug
‘Vijana chagueni viongozi wenye maslahi kwa taifa’
WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imehimiza vijana kuhakikisha wanachagua viongozi wenye maslahi kwa taifa katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Elisante Ole Gabriel alitoa mwito huo jijini Dar es Salaam jana katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4PaQIUqd6VY/VdDpMYFpj8I/AAAAAAAC9rg/F1nLSucQOG8/s72-c/_MG_6403.jpg)
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) lamvua ukamanda Kinguge Ngombale Mwiru
![](http://2.bp.blogspot.com/-4PaQIUqd6VY/VdDpMYFpj8I/AAAAAAAC9rg/F1nLSucQOG8/s640/_MG_6403.jpg)
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1. Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana na tabia na mwenendo wake wa hivi karibuni kuenda tofauti na maadili na taratibu za CCM.
Aidha kikao kimetoa mapendekezo kwa vikao vya Chama Cha Mapinduzi kuuangangalia upya uanachama wake na...
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM) lampa ‘Mkono wa kwaheri’ Kingunge Ngombale Mwiru
Pichani ni picha ya Maktaba: Kingunge Ngombale Mwilu (kushoto) ambaye alikuwa Kamanda wa UVCCM Taifa mapema Agosti 16, amevuliwa nafasi hiyo na uongozi wa UVCCM Taifa kufuatia kikao chao kilichokaa jijini Dar es Salaam.
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1.Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana...
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA AWAASA VIJANA KUACHA ‘KUDENDEKA’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YbjtuK7enMw/XvN_KxusUqI/AAAAAAALvSc/M18pcbWzZyA2Q4MWFfQzBMgCG_nDwe9bQCLcBGAsYHQ/s72-c/kHERI-jAMES.jpg)
KHERI JAMES AWARUDISHA KWENYE MAJUKUMU YAO VIJANA SITA WALIOKUA WAMESIMAMISHWA UONGOZI UVCCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-YbjtuK7enMw/XvN_KxusUqI/AAAAAAALvSc/M18pcbWzZyA2Q4MWFfQzBMgCG_nDwe9bQCLcBGAsYHQ/s400/kHERI-jAMES.jpg)
Kheri amesema iamuzi huo umefikiwa baada ya Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi (ZAECA) iliyopewa jukumu la kuchunguza tuhuma dhidi yao kuonyesha kuwa vijana hao hawakuhusika katika tuhuma hizo.
Akizungumza na leo jijini Dodoma,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RYKaHZPDsRI/U204F-9ed2I/AAAAAAACgpk/NtCH_bwjkXM/s72-c/13.jpg)
KINANA AWASHA MOTO IGUNGA,AWAMWAGIA SIFA LUKUKI VIONGOZI VIJANA WA WILAYA HIYO KWA UBUNIFU WA MIRADI YA VIJANA YA KUJIKWAMUA NA UMASKINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RYKaHZPDsRI/U204F-9ed2I/AAAAAAACgpk/NtCH_bwjkXM/s1600/13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-habGae4_mPI/U204ZANRrgI/AAAAAAACgps/bMN7gAgwMI4/s1600/14.jpg)