Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo

Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio

The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kingunge ajiondoa CCM, asema chama kimekiuka katiba

Kada mkongwe wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kingunge Ngombale Mwiru leo ametangaza rasmi kuachana na chama hicho na kusema hatajiunga na chama kingine chochote.

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM) lampa ‘Mkono wa kwaheri’ Kingunge Ngombale Mwiru

KINGU

Pichani ni picha ya Maktaba: Kingunge Ngombale Mwilu (kushoto) ambaye alikuwa Kamanda wa UVCCM Taifa mapema Agosti 16, amevuliwa nafasi hiyo na uongozi wa UVCCM Taifa kufuatia kikao chao kilichokaa jijini Dar es Salaam.

Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-

1.Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI KINGUNGE NGOMBALE MWIRU, NINGEJITATHMINI KWANZA

Kingunge Ngombale Mwilu. Heshima yako mzee! Najua una mambo mengi ya kufanya, ukichanganya na umri wako, itakuwa vigumu sana kwa mtu kama mimi kuonana ana kwa ana na wewe. Hiyo ndiyo sababu iliyonifanya niamue kutumia ukurasa huu kufikisha ujumbe wangu kwako. Mheshimiwa, mimi si mwanasiasa mkongwe kama wewe ambaye umeitumikia nchi hii tangu enzi za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mpaka leo hii. Sijawahi kushika nyadhifa...

 

9 years ago

Michuzi

Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) lamvua ukamanda Kinguge Ngombale Mwiru

Kingunge Ngombale Mwiru
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1. Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana na tabia na mwenendo wake wa hivi karibuni kuenda tofauti na maadili na taratibu za CCM.
Aidha kikao kimetoa mapendekezo kwa vikao vya Chama Cha Mapinduzi kuuangangalia upya uanachama wake na...

 

9 years ago

StarTV

Kingunge Ngombare Mwiru aihama CCM

Mwanasiasa Mkongwe ambaye pia mewahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi ndani ya serikali ya Tanzania, chini ya Chama cha Mapinduzi Kingunge Ngombale Mwiru, amekihama chama hicho, kwa madai kuwa kimeshindwa kusimamia katiba ya chama hicho, na kusababisha chama kupoteza dira ya kuwainua wananchi kiuchumi.

Mzee Mwiru, amesema anaamua kuelekea kwenye upande unaokubalika kutokana na itikadi zake za mabadiliko, ambazo yeye kama mzee anaona upande huo uko nje ya CCM.

Bila kutaja wazi chama...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kingunge amdhamini Lowassa, asema mgombea urais wa CCM lazima akubalike na makundi yote, ndani na nje ya chama

Lowassa_Ilala

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungian wananchi wakati akiwasili ofisi za CCM kata ya Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam, kutafuta wadhamini. (Picha na K-VIS MEDIA).

Kingunge udhamini

Mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombali Mwiru, (kushoto), akijaza fomu za kumdhamini Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, kwenye ofisi za CCM wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Juni 27, 2015, wakati Mh. Lowassa, alipotua jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Michuzi

TONNY NGOMBALE MWIRU ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA UVCCM

 Mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi na Waziri  Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar Shamsi Vuai Nahodha akimsimika Tonny Ngombale Mwiru kuwa kama wa UVCCM kata ya Kijitonyama. Kamanda mpya wa Umoja wa Vijana kata ya Kijitonyama Tonny Ngombale Mwiru akiwapungia mkono wanachama wa CCM mara baada ya kusimikwa kuwa kamanda wa UVCCM kata ya Kijitonyama. Mjumbe wa kamati kuu ya CCM ambaye pia ni waziri kiongozi wa zamani wa SMZ Shamsi Vuai Nahodha,katibu wa UVCCM kata ya Kijitonyama Fatuma  ...

 

10 years ago

Mwananchi

January amvaa Kingunge, asema sasa anakivuruga chama chao

>Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amemtolea uvivu mshauri wa zamani wa Siasa wa Rais Jakaya Kikwete, Kingunge Ngombale-Mwiru kwa kuupinga mchakato wa uteuzi wa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM na kusema anakivuruga chama.

 

11 years ago

Mwiru

CA member and political scene veteran,Kingunge Ngombale


CA member and political scene veteran,Kingunge Ngombale-Mwiru
IPPmedia
The Constituent Assembly yesterday approved proposed amendments of some standing orders in a move to enhance harmony effectiveness in its sessions. Amendments were done on standing orders number 32, 33, 35, 41, 60, 62 and 82. Following ...
CA adjourned amidst calls for Ukawa's returnDaily News

all 4

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani