Kingunge Ngombare Mwiru aihama CCM
Mwanasiasa Mkongwe ambaye pia mewahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi ndani ya serikali ya Tanzania, chini ya Chama cha Mapinduzi Kingunge Ngombale Mwiru, amekihama chama hicho, kwa madai kuwa kimeshindwa kusimamia katiba ya chama hicho, na kusababisha chama kupoteza dira ya kuwainua wananchi kiuchumi.
Mzee Mwiru, amesema anaamua kuelekea kwenye upande unaokubalika kutokana na itikadi zake za mabadiliko, ambazo yeye kama mzee anaona upande huo uko nje ya CCM.
Bila kutaja wazi chama...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo
Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio
The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM) lampa ‘Mkono wa kwaheri’ Kingunge Ngombale Mwiru
Pichani ni picha ya Maktaba: Kingunge Ngombale Mwilu (kushoto) ambaye alikuwa Kamanda wa UVCCM Taifa mapema Agosti 16, amevuliwa nafasi hiyo na uongozi wa UVCCM Taifa kufuatia kikao chao kilichokaa jijini Dar es Salaam.
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1.Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana...
10 years ago
GPLNINGEKUWA MIMI KINGUNGE NGOMBALE MWIRU, NINGEJITATHMINI KWANZA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4PaQIUqd6VY/VdDpMYFpj8I/AAAAAAAC9rg/F1nLSucQOG8/s72-c/_MG_6403.jpg)
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) lamvua ukamanda Kinguge Ngombale Mwiru
![](http://2.bp.blogspot.com/-4PaQIUqd6VY/VdDpMYFpj8I/AAAAAAAC9rg/F1nLSucQOG8/s640/_MG_6403.jpg)
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1. Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana na tabia na mwenendo wake wa hivi karibuni kuenda tofauti na maadili na taratibu za CCM.
Aidha kikao kimetoa mapendekezo kwa vikao vya Chama Cha Mapinduzi kuuangangalia upya uanachama wake na...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Kingunge awalipua CCM
MWANASIASA mkongwe na Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombale – Mwiru, amesema makada wenzake wanaomshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, wanakitukana Chama...
9 years ago
TheCitizen04 Oct
Kingunge quits CCM
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MZEE KINGUNGE AACHANA NA CCM
9 years ago
TheCitizen05 Oct
CCM: Business as usual without Kingunge
9 years ago
Vijimambo05 Oct
SABABU ZILIZOPELEKEA KINGUNGE AJITOE CCM
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/kingunge.jpg)
Alitangaza kuachana na siasa za chama tawala jana nyumbani kwake Kijitonyama, jijini Dar es Salaam, akidai hatua yake inatokana na CCM kutofuata na kuheshimu Katiba. “Kuanzia leo,(jana) naachana na CCM kwa sababu siwezi kuhimili chama kinachoendeshwa bila kuheshimu Katiba, Katiba...