Kingunge awalipua CCM
MWANASIASA mkongwe na Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombale – Mwiru, amesema makada wenzake wanaomshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, wanakitukana Chama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen04 Oct
Kingunge quits CCM
9 years ago
TheCitizen05 Oct
CCM: Business as usual without Kingunge
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MZEE KINGUNGE AACHANA NA CCM
9 years ago
Vijimambo05 Oct
SABABU ZILIZOPELEKEA KINGUNGE AJITOE CCM
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/kingunge.jpg)
Alitangaza kuachana na siasa za chama tawala jana nyumbani kwake Kijitonyama, jijini Dar es Salaam, akidai hatua yake inatokana na CCM kutofuata na kuheshimu Katiba. “Kuanzia leo,(jana) naachana na CCM kwa sababu siwezi kuhimili chama kinachoendeshwa bila kuheshimu Katiba, Katiba...
9 years ago
Habarileo05 Oct
Mzee Kingunge ang’oka CCM
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.
9 years ago
StarTV05 Oct
Kingunge Ngombare Mwiru aihama CCM
Mwanasiasa Mkongwe ambaye pia mewahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi ndani ya serikali ya Tanzania, chini ya Chama cha Mapinduzi Kingunge Ngombale Mwiru, amekihama chama hicho, kwa madai kuwa kimeshindwa kusimamia katiba ya chama hicho, na kusababisha chama kupoteza dira ya kuwainua wananchi kiuchumi.
Mzee Mwiru, amesema anaamua kuelekea kwenye upande unaokubalika kutokana na itikadi zake za mabadiliko, ambazo yeye kama mzee anaona upande huo uko nje ya CCM.
Bila kutaja wazi chama...
9 years ago
IPPmedia06 Oct
CCM veterans 'respect' Kingunge's move
IPPmedia
IPPmedia
Several prominent CCM cadres who have served the party for scores of years alongside Kingunge Ngombale-Mwiru, who quit the party on Sunday, say they respect his decision. Speaking in separate interviews with 'The Guardian' yesterday, the ...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Kingunge, Mwasisi wa CCM aliyekimbia kivuli chake
KINGUNGE Ngombale-Mwiru, mwanasiasa na msomi aliyejipembua kwa msimamo wa itikadi ya kisoshalisti
Mwandishi Wetu
10 years ago
TheCitizen16 Jul
Kingunge spits fire, calls for CCM dialogue