Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kingunge awalipua CCM

MWANASIASA mkongwe na Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombale – Mwiru, amesema makada wenzake wanaomshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, wanakitukana Chama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Kingunge quits CCM

CCM cadre Kingunge Ngombale Mwiru quits the party siting infringement of the party's constitution as the main reason.

 

9 years ago

TheCitizen

CCM: Business as usual without Kingunge

Just a day after  veteran politician Kingunge Ngombale-Mwiru's public exit from the ruling party, CCM’s youth Wing have today come out stating that  his exit will have no effect what so ever on the party's future.

 

9 years ago

GPL

MZEE KINGUNGE AACHANA NA CCM

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru. Mwanasiasa mkongwe nchini ambaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Kingunge Ngombale Mwiru hivi punde wakati akiongea na wanahabari jijini Dar ametangaza kuachana na chama hicho maana kimeshindwa kuheshimu katiba yake, asema hajiungi na chama chochote ila yupo upande wa mabadiliko.

 

9 years ago

Vijimambo

SABABU ZILIZOPELEKEA KINGUNGE AJITOE CCM

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.

Alitangaza kuachana na siasa za chama tawala jana nyumbani kwake Kijitonyama, jijini Dar es Salaam, akidai hatua yake inatokana na CCM kutofuata na kuheshimu Katiba. “Kuanzia leo,(jana) naachana na CCM kwa sababu siwezi kuhimili chama kinachoendeshwa bila kuheshimu Katiba, Katiba...

 

9 years ago

Habarileo

Mzee Kingunge ang’oka CCM

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.

 

9 years ago

StarTV

Kingunge Ngombare Mwiru aihama CCM

Mwanasiasa Mkongwe ambaye pia mewahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi ndani ya serikali ya Tanzania, chini ya Chama cha Mapinduzi Kingunge Ngombale Mwiru, amekihama chama hicho, kwa madai kuwa kimeshindwa kusimamia katiba ya chama hicho, na kusababisha chama kupoteza dira ya kuwainua wananchi kiuchumi.

Mzee Mwiru, amesema anaamua kuelekea kwenye upande unaokubalika kutokana na itikadi zake za mabadiliko, ambazo yeye kama mzee anaona upande huo uko nje ya CCM.

Bila kutaja wazi chama...

 

9 years ago

IPPmedia

CCM veterans 'respect' Kingunge's move


IPPmedia
CCM veterans 'respect' Kingunge's move
IPPmedia
Several prominent CCM cadres who have served the party for scores of years alongside Kingunge Ngombale-Mwiru, who quit the party on Sunday, say they respect his decision. Speaking in separate interviews with 'The Guardian' yesterday, the ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kingunge, Mwasisi wa CCM aliyekimbia kivuli chake

KINGUNGE Ngombale-Mwiru, mwanasiasa na msomi aliyejipembua kwa msimamo wa itikadi ya kisoshalisti

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

TheCitizen

Kingunge spits fire, calls for CCM dialogue

Dar es Salaam. Veteran CCM cadre Kingunge Ngombale-Mwiru yesterday called for urgent dialogue to heal and unite the party ahead of the October General Election.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani