MZEE KINGUNGE AACHANA NA CCM
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru. Mwanasiasa mkongwe nchini ambaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Kingunge Ngombale Mwiru hivi punde wakati akiongea na wanahabari jijini Dar ametangaza kuachana na chama hicho maana kimeshindwa kuheshimu katiba yake, asema hajiungi na chama chochote ila yupo upande wa mabadiliko.
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo05 Oct
Mzee Kingunge ang’oka CCM
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo
Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio
The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XfveG0Z3dzw/VaZx4wTRCFI/AAAAAAADx9Y/j2dA_Xdes_4/s72-c/nec2.jpg)
Leo Mzee Kingunge kaongea na Vyombo vya Habari, ameanza kwa kupinga mfumo uliotumika kuwachuja wagombea wa urais kupitia CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XfveG0Z3dzw/VaZx4wTRCFI/AAAAAAADx9Y/j2dA_Xdes_4/s640/nec2.jpg)
Kingunge amesema "Kamati ya Maadili huko nyuma ilikuwa ni chombo chakuandaa taarifa ili kuisadia Kamati Kuu ktk kuwajadili wagombea"
Amesema Kamati ya Maadili ya safari hii imefanya kazi isiyowahusukikatiba - kukata majina ya wagombe.
Kingunge amesema Kamati ya Maadili ya CCM yenyewe imekosa maadili yakuheshimu katiba na taratibu za chama.Amesisitiza Kamati ya Maadili haikuwa na madaraka ya kupeleka majina 5kwenye kamati kuu, ambayo ilipaswa kuhoji wagombea wote 38.
Kwa mujibu wa Kingunge, Kuna...
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Mzee Kingunge ameniacha na mshangao
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Oct
Kama mzee Moyo, ameyaona Kingunge
Jabir Idrissa NANI katika CCM waliopo sasa, akiwemo Mwenyekiti wao Jakaya Mrisho Kikwete, makamu Philip Mangula na Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana, anayekijua kwa ufasaha chama hiki – asili yake, itikadi yake, sera yake, malengo yake – […]
The post Kama mzee Moyo, ameyaona Kingunge appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qg6qsIbqT-LqVjHFnxzM09HS7MW6Wc4nstX-3tk9oIMeIjKo*zvQ7OB-Ykwqg5xuKuvdkreM0tdg5NUfoAOomLg/BREAKINGNEWS.gif)
MZEE KINGUNGE: SI SAHIHI KUMSHAMBULIA JAJI WARIOBA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2Rw0WFHT4aFKB9O-0si*aziWBtRbr6BT6rqG-j*azpHnsVE0gpOCMkKT2a3bwTxDvmaaO20MTFAPnfUA0fEdf9/kingunge1.jpg?width=650)
ALICHOSEMA MZEE KINGUNGE KUHUSU JAJI WARIOBA NI SAHIHI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iUoK3f3L7mc/VZ12gPIMKJI/AAAAAAAHn2E/QNiS_LxVIXc/s72-c/unnamedb.jpg)
Mzee Kingunge atoa yake ya moyoni mjini Dodoma leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iUoK3f3L7mc/VZ12gPIMKJI/AAAAAAAHn2E/QNiS_LxVIXc/s640/unnamedb.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo Jumatano Julai 8, 2015, Kingunge ambaye ameshawahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya chama hicho alisema “ninatishwa na watu wanaotumia nguvu nyingi kwelikweli...
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Mzee Kingunge ataka katiba itakayomwondoa Mtanzania katika umaskini
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru akichangia bungeni mjini Dodoma Septemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Magreth Kinabo, Dodoma
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ambaye pia ni Mwanasiasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ameeleza siri iliyomsukuma kutoa mapendekezo yake ya sura mpya juu ya lengo la mageuzi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii na kujitegemea kuwa ni unyonge wa watu wengi ili waweze kuondokana na umasikini.
Aidha Mzee Kingunge...