Mzee Kingunge atoa yake ya moyoni mjini Dodoma leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iUoK3f3L7mc/VZ12gPIMKJI/AAAAAAAHn2E/QNiS_LxVIXc/s72-c/unnamedb.jpg)
MWANASIASA mkongwe nchini, mzee Kingunge Ngombale Mwiru, amekionya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutofanya dhihaka ya kumpendekeza kada yoyote kuwa mgombea wake wa urais kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, kwani kwa kufanya hivyo kitaanguka.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo Jumatano Julai 8, 2015, Kingunge ambaye ameshawahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya chama hicho alisema “ninatishwa na watu wanaotumia nguvu nyingi kwelikweli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s72-c/unnamed+(10).jpg)
NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA) ATOA TAMKO KUHUSU SIKU YA KUPAMBANA NA KUENEA KWA HALI YA JANGWA NA UKAME DUNIANI MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XfveG0Z3dzw/VaZx4wTRCFI/AAAAAAADx9Y/j2dA_Xdes_4/s72-c/nec2.jpg)
Leo Mzee Kingunge kaongea na Vyombo vya Habari, ameanza kwa kupinga mfumo uliotumika kuwachuja wagombea wa urais kupitia CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XfveG0Z3dzw/VaZx4wTRCFI/AAAAAAADx9Y/j2dA_Xdes_4/s640/nec2.jpg)
Kingunge amesema "Kamati ya Maadili huko nyuma ilikuwa ni chombo chakuandaa taarifa ili kuisadia Kamati Kuu ktk kuwajadili wagombea"
Amesema Kamati ya Maadili ya safari hii imefanya kazi isiyowahusukikatiba - kukata majina ya wagombe.
Kingunge amesema Kamati ya Maadili ya CCM yenyewe imekosa maadili yakuheshimu katiba na taratibu za chama.Amesisitiza Kamati ya Maadili haikuwa na madaraka ya kupeleka majina 5kwenye kamati kuu, ambayo ilipaswa kuhoji wagombea wote 38.
Kwa mujibu wa Kingunge, Kuna...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t9MMg9q3G9c/VWHkpWrjPnI/AAAAAAAHZh8/XOEErdAUZuQ/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
JK atoa Msaada kwa Timu ya Kilimani Sports Club mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-t9MMg9q3G9c/VWHkpWrjPnI/AAAAAAAHZh8/XOEErdAUZuQ/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete atoa Msaada kwa Timu ya Kilimani Sports Club mjini Dodoma
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi timu ya soka ya Kilimani Sports Club jezi na mipira katika ikulu ndogo ya mjini Dodoma leo asubuhi.Rais Kikwete alitoa msaada kwa timu hiyo baada ya kuwakuta vijana hao wakifanya mazoezi bila zana bora katika uwanja wa mpira ulioko eneo la Kilimani karibu na ikulu wakati Rais alipokuwa akifanya mazoezi ya kutembea katika eneo hilo.Wakiongea mara baada ya kupokea msaada huo vijana hao walimshukuru Rais Kwa moyo wake wa upendo na nia yake ya kukuza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uypXQ3bvE1I/VaJoYqtu7ZI/AAAAAAAHpBE/mQtsD4xJtaQ/s72-c/IMGL0622.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA: RAIS KIKWETE AFUNGA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA LEO, KUMTAMBULISHA MAGUFULI UWANJA WA JAMHURI JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-uypXQ3bvE1I/VaJoYqtu7ZI/AAAAAAAHpBE/mQtsD4xJtaQ/s640/IMGL0622.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pZtwWjf61VA/VaJodZi-wZI/AAAAAAAHpBM/i5ZVPFCDU78/s640/IMGL0621.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LE52u3rOGIY/VaJpp0bu0tI/AAAAAAAHpBs/BdcKBrVYaso/s640/IMGL0248.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8hXvdlETxLo/VaJr-Wa5PQI/AAAAAAAHpDg/UbBEJo7VsS8/s640/IMG_3887%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Habarileo31 Jul
Ndugai atoa ya moyoni
MBUNGE wa Kongwa anayetetea nafasi yake, Job Ndugai amesema kumekuwa na njama za kumchafua ili kumharibia sifa yake kwani baadhi ya waliojitokeza kuwania ubunge katika jimbo hilo ni mapandikizi na wako kwa nia ya kufanya fujo.
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Bi. Hania atoa ya moyoni
MKALI wa filamu za Kibongo, Halima Issa ‘Bi Hania’, ameelezea kukerwa na kukithiri kwa tabia ya baadhi ya viongozi wa makundi ya sanaa kuendekeza vitendo vya ngono kwa wasanii wa...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Zitto atoa ya moyoni
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba watakaporejea Agosti 5, wapitishe rasimu ya pili ya katiba kama njia ya kumuenzi mama yake Shida...