JK atoa Msaada kwa Timu ya Kilimani Sports Club mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-t9MMg9q3G9c/VWHkpWrjPnI/AAAAAAAHZh8/XOEErdAUZuQ/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi timu ya soka ya Kilimani Sports Club jezi na mipira katika ikulu ndogo ya mjini Dodoma leo asubuhi.Rais Kikwete alitoa msaada kwa timu hiyo baada ya kuwakuta vijana hao wakifanya mazoezi bila zana bora katika uwanja wa mpira ulioko eneo la Kilimani karibu na Ikulu wakati Rais alipokuwa akifanya mazoezi ya kutembea katika eneo hilo.Wakiongea mara baada ya kupokea msaada huo vijana hao walimshukuru Rais Kwa moyo wake wa upendo na nia yake ya kukuza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRais Kikwete atoa Msaada kwa Timu ya Kilimani Sports Club mjini Dodoma
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi timu ya soka ya Kilimani Sports Club jezi na mipira katika ikulu ndogo ya mjini Dodoma leo asubuhi.Rais Kikwete alitoa msaada kwa timu hiyo baada ya kuwakuta vijana hao wakifanya mazoezi bila zana bora katika uwanja wa mpira ulioko eneo la Kilimani karibu na ikulu wakati Rais alipokuwa akifanya mazoezi ya kutembea katika eneo hilo.Wakiongea mara baada ya kupokea msaada huo vijana hao walimshukuru Rais Kwa moyo wake wa upendo na nia yake ya kukuza...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sztf5t_u-vM/VFirgRI22TI/AAAAAAAGvZ0/Ak_lSa9yrPI/s72-c/unnamed%2B(92).jpg)
KUTOKA UKUMBI WA KILIMANI MJINI DODOMA HIVI SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sztf5t_u-vM/VFirgRI22TI/AAAAAAAGvZ0/Ak_lSa9yrPI/s1600/unnamed%2B(92).jpg)
TBC One pamoja na mtandao wa www.ikulu.go.tz
10 years ago
GPLMBUNGE WA ILALA ATOA MSAADA WA JEZI KWA TIMU YA ASHANTI UNITED
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HmVT-Elh97o/VXQEGQ4etQI/AAAAAAAAQoE/fYnLAyhZiJU/s72-c/DSCF5476%2B%2528800x600%2529.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA MOSHI ,JAFARY MICHAEL ATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA SHULE YA MSINGI PASUA MJINI MOSHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-HmVT-Elh97o/VXQEGQ4etQI/AAAAAAAAQoE/fYnLAyhZiJU/s640/DSCF5476%2B%2528800x600%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9hDNwimkFyY/VXQEJkbuYRI/AAAAAAAAQoM/C3ZI1FGjYWw/s640/DSCF5477%2B%2528800x600%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7Z2JyKI1NzU/VXQEMGrYqfI/AAAAAAAAQoc/rJ2Z2aYTzEk/s640/DSCF5479%2B%2528800x600%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziTIMU YA SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA KUIGIZA LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS YAWASILI SALAMA MKOANI DODOMA TAYARI KWA ZOEZI LA USAILI LITAKALOANZA NA PROMOTION PARTY NDANI YA CLUB 84 LEO
Shindano hili linaendelea ambapo awali lilianzia Kanda ya Ziwa Mkoani Mwanza na hatimaye kupatikana kwa washindi watatu wa kanda ya Ziwa huku wakisubiri washindi wa Kanda nyingine kupatikana Kwaajili ya fainali kubwa itakayofanyika Mkoani Dar Es Salaam na mshindi mmoja kuibuka na Kitita Cha Shilingi Milioni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s72-c/unnamed+(10).jpg)
NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA) ATOA TAMKO KUHUSU SIKU YA KUPAMBANA NA KUENEA KWA HALI YA JANGWA NA UKAME DUNIANI MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s1600/unnamed+(10).jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Timu ya Watoto wa Mitaani (TSC) watinga Bungeni mjini Dodoma
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Habib Mnyaa akitoa ufafanuzi leo kuhusu maoni ya taarifa ya Kamati Namba Moja ya Bunge la Maalum la Katiba.
Mwenyekiti wa Kamati Namba Kumi na Moja ya Bunge Maalum la Katiba, Anna Kilango Malecela akiwasilisha leo taarifa ya Kamati yake kuhusu Sura ya kwanza na sura ya sita ya Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Timu ya Watoto wa Mitaani (TSC) ikiwa katika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma mara baada ya timu hiyo na...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/2.Wanajoggingi-walioshiriki-uchangiaji-damu-huo-wakiwa-katika-picha-ya-pamoja..jpg)
JAMII SPORTS CLUB YAADHIMISHA NYERERE DAY KWA KUCHANGIA DAMU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iUoK3f3L7mc/VZ12gPIMKJI/AAAAAAAHn2E/QNiS_LxVIXc/s72-c/unnamedb.jpg)
Mzee Kingunge atoa yake ya moyoni mjini Dodoma leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iUoK3f3L7mc/VZ12gPIMKJI/AAAAAAAHn2E/QNiS_LxVIXc/s640/unnamedb.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo Jumatano Julai 8, 2015, Kingunge ambaye ameshawahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya chama hicho alisema “ninatishwa na watu wanaotumia nguvu nyingi kwelikweli...