Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA UKUMBI WA KILIMANI MJINI DODOMA HIVI SASA

Sehemu ya Wazee wa Mkoa wa Dodoma wakiwa kwenye Ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma tayari kwa kumsikiliza Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Profesa Jakaya Mrisho Kikwete wawakati wowote kuanzia sasa. Usikose kuangalia mazungumzo hayo ambayo tayari yanaoneshwa moja kwa moja kupitia:
TBC One pamoja na mtandao wa www.ikulu.go.tz

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: TBC KUONESHA LIVE RAIS KIKWETE ANAPOONGEA NA WAZEE WA DODOMA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA UKUMBI WA KILIMANI


Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Profesa Jakaya Mrisho Kikwete mchana huu ataanza kuzungumza na Wazee wa Dodoma  katika ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma wakati wowote kuanzia sasa. Usikose kuangalia mazungumzo hayo yatayooneshwa moja kwa moja na TBC One pamoja na mtandao wa www.ikulu.go.tz
IMETOLEWA NA KITENGO CHA 
MAWASILIANO YA RAIS IKULU, DAR ES SALAAM
NOVEMBA 4, 2014

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA KUTOKA UKUMBI WA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

 Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba,Mh. Pandu Kificho akisisitiza jambo wakati wa Kikao cha Bunge hilo,kinachoendelea leo kwenye Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.  Wajumbe wa Bunge la Katiba,Mh. Tundu Lissu na Mh. Jussa wakibadilishana mawazo wakati wa kikao cha Bunge la Katiba kinachoendelea leo Mjini Dodoma.  Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba,Mh. Edward Lowassa akifatilia kwa makini mjadala wa Bunge hilo,mjini Dodoma leo.  Mh. Anne Makinda akichangia Mapendekezo ya Rasimu ya Kanuni...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKILIHUTUBIA LIVE BUNGE MAALUM LA KATIBA HIVI SASA MJINI DODOMA

 TAZAMA HAPA MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AKILIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA MKOANI DODOMA JIONI HII.

 

10 years ago

Michuzi

JK atoa Msaada kwa Timu ya Kilimani Sports Club mjini Dodoma

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi timu ya soka ya Kilimani Sports Club jezi na mipira katika ikulu ndogo ya mjini Dodoma leo asubuhi.Rais Kikwete alitoa msaada kwa timu hiyo baada ya kuwakuta vijana hao wakifanya mazoezi bila zana bora katika uwanja wa mpira ulioko eneo la Kilimani karibu na Ikulu wakati Rais alipokuwa akifanya mazoezi ya kutembea katika eneo hilo.Wakiongea mara baada ya kupokea msaada huo vijana hao walimshukuru Rais Kwa moyo wake wa upendo na nia yake ya kukuza...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete atoa Msaada kwa Timu ya Kilimani Sports Club mjini Dodoma


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiikabidhi timu ya soka ya Kilimani Sports Club jezi na mipira katika ikulu ndogo ya mjini Dodoma leo asubuhi.Rais Kikwete alitoa msaada kwa timu hiyo baada ya kuwakuta vijana hao wakifanya mazoezi bila zana bora katika uwanja wa mpira ulioko eneo la Kilimani karibu na ikulu wakati Rais alipokuwa akifanya mazoezi ya kutembea katika eneo hilo.Wakiongea mara baada ya kupokea msaada huo vijana hao walimshukuru Rais Kwa moyo wake wa upendo na nia yake ya kukuza...

 

10 years ago

Michuzi

Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM mjini Dodoma

 Muonkano wa ndani wa ukumbi mpya wa mikutano wa CCM mjini Dodoma ambao uko katika hatua za mwisho kukamilika

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA: UKUMBI MPYA WA MIKUTANO WA CCM MJINI DODOMA



 Muonkano wa ndani wa ukumbi mpya wa mikutano wa CCM mjini Dodoma ambao uko katika hatua za mwisho kukamilika

 

10 years ago

GPL

JK AZINDUA UKUMBI WA KISASA WA MIKUTANO WA CCM MJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili kwenye sherehe za uzinduzi wa jengo jipya la mikutano la CCM.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiongoza sherehe fupi za uzinduzi wa jengo jipya la mikutano la CCM mjini Dodoma.  Mkurugenzi… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

JK akagua ukumbi mpya wa mikutano wa kimataifa unaojengwa na CCM mjini Dodoma

D92A0341

Muonekano wa ndani wa ukumbi mpya wa mikutano uliojengwa na CCM mjini Dodoma ambao uko katika hatua za mwisho kukamilika kabla ya kuanza kutumika.Ukumbi huu upo karibu na jengo la  Benki Kuu, njia ya kuelekea Chuo Kikuu cha Dodoma – UDOM.

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma unaojengwa na  CCM.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma unaojengwa na  CCM. Kulia ni makamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani