RAIS KIKWETE AKILIHUTUBIA LIVE BUNGE MAALUM LA KATIBA HIVI SASA MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lL3jjVikQK4/Uyw6xxSCUzI/AAAAAAAFVVk/lQK2xasphDs/s72-c/JK-Sensa.jpg)
TAZAMA HAPA MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AKILIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA MKOANI DODOMA JIONI HII.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi22 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qGfZS5Y66O8/UyLkxowoZII/AAAAAAAFTfQ/rbFDPu1GtQM/s72-c/D92A4440.jpg)
Rais Kikwete awaapisha Katibu na Naibu Katibu wa Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma leo
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Katibu na naibu katibu wa Bunge Maalum la katiba katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ndogo mjini Dodoma leo.
Rais ni Katibu Bwana Yahya Khamis Hamad akila kiapo kuwa Katibu wa Bunge Maalum la Katiba. Wa pili kushoto akishuhudia kiapo ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na watatu kushoto ni karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gerson Mdemu![](http://1.bp.blogspot.com/-6IKnz_VvaYo/UyLkxwz4NAI/AAAAAAAFTfU/4Q6GntKFed8/s1600/D92A4470.jpg)
Dkt. Thomas Kashililah akila kiapo kuwa Naibu Katibu wa Bunge Maalum la...
![](http://2.bp.blogspot.com/-qGfZS5Y66O8/UyLkxowoZII/AAAAAAAFTfQ/rbFDPu1GtQM/s1600/D92A4440.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6IKnz_VvaYo/UyLkxwz4NAI/AAAAAAAFTfU/4Q6GntKFed8/s1600/D92A4470.jpg)
Dkt. Thomas Kashililah akila kiapo kuwa Naibu Katibu wa Bunge Maalum la...
11 years ago
GPL![](https://1.bp.blogspot.com/-0WNkgl4cLAs/UyLKHSzkxBI/AAAAAAAAOGI/4YCpYIWpDgo/s1600/IMG_4232.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU NA NAIBU KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO MJINI DODOMA
Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw, Yahya Khamis Hamad akiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma. Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Yahya Khamis Hamad akisaini Kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMkxJJU8Lotw5m*07Vz5Mft9-m31iE0n8Anpm9GcxCvrUMKdN2X72arQJDAGoRXP8L7LaU-c2Fum1-MA7uI0Vp1s/JKNASITTA.jpg?width=650)
RASI KIKWETE ALIHUTUBIA NA KUZINDUA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mh. Samuel Sitta akimkaribisha Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma ili kulihutubia na kuzindua Bunge Maalum la Katiba leo jioni.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, Mke wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere na Mke wa Rais wa Awamu ya pili Mama Siti Mwinyi wakisiliza kwa makini hotuba ya Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete bungeni Dodoma leo… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMmAS1BQkEGTD8e*rHSeARI*9z62YxXuylWSL9L3rDDExO2tmfIGk4S9VzW2vvt1E*lwoilnBUzXYKTTQPzxMILu/ikulu.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AWASILI DODOMA KUHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, leo, Alhamisi, Machi 20, 2014, amewasili mjini Dodoma kwa ziara ya kikazi ya siku tatu ambako miongoni mwa mambo mengine atakuwa Mgeni Rasmi na atahutubia Bunge Maalum la Katiba kesho, Ijumaa, Machi 21, 2014. Muda mfupi baada ya kuwa amewasili na kulakiwa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda kwenye Uwanja wa Ndege...
11 years ago
Michuzi23 Apr
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania