Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RASI KIKWETE ALIHUTUBIA NA KUZINDUA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mh. Samuel Sitta akimkaribisha Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma ili kulihutubia na kuzindua Bunge Maalum la Katiba leo jioni.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, Mke wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere na Mke wa Rais wa Awamu ya pili Mama Siti Mwinyi wakisiliza kwa makini hotuba ya Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete bungeni Dodoma leo… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awaapisha Katibu na Naibu Katibu wa Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma leo

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Katibu na naibu katibu wa Bunge Maalum la katiba katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ndogo mjini Dodoma leo.  Rais ni Katibu Bwana Yahya Khamis Hamad akila kiapo kuwa Katibu wa Bunge Maalum la Katiba. Wa pili kushoto akishuhudia kiapo ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na watatu kushoto ni karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gerson Mdemu
 Dkt. Thomas Kashililah akila kiapo kuwa Naibu Katibu wa Bunge Maalum la...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU NA NAIBU KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO MJINI DODOMA

Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw, Yahya Khamis Hamad akiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma. Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Yahya Khamis Hamad akisaini Kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma.…

 

10 years ago

Michuzi

RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Mhe. Andrew Chenge (kushoto) akiwasili bungeni kwa ajili ya kuwasilisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, leo 24 Septemba, 2014. Kulia ni mjumbe wa Bunge hilo, Dkt. Tulia Ackson. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongoza bunge hilo leo 24 Septemba, 2014 mjini Dodoma.Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Bunge Maalu la Katiba, Mhe. Andrew Chenge akiwasilisha Rasimu iliyopendekezwa ndani ya bunge hilo leo 24 Septemba, 2014 mjini...

 

11 years ago

GPL

KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa (katikati), Andrew Chenge (kulia) na James Mbatia wakiteta jambo bungeni mjini Dodoma leo Machi 31, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Anne Makinda ambaye ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akibadilishana mawazo na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Kificho ndani ya bunge leo.… ...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Askofu Mkuu Mstaafu, Dr. Donald Mtetemela  (kushoto) na Spika wa Bunge, Anne Makinda wakiteta Bungeni mjini Dodoma Aprili 4, 2014.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba  na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli akiapa mbele ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu (kushoto), Bungeni Mjini Dodoma Aprili 4, 2014.…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani