RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s72-c/unnamed%2B(81).jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Mhe. Andrew Chenge (kushoto) akiwasili bungeni kwa ajili ya kuwasilisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, leo 24 Septemba, 2014. Kulia ni mjumbe wa Bunge hilo, Dkt. Tulia Ackson.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongoza bunge hilo leo 24 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Bunge Maalu la Katiba, Mhe. Andrew Chenge akiwasilisha Rasimu iliyopendekezwa ndani ya bunge hilo leo 24 Septemba, 2014 mjini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Matokeo rasmi ya kura za kupitisha rasimu ya Katiba Bunge Maalum mjini Dodoma
Idadi ya Wabunge ni 219
Waliopiga kura154
Wasiopiga Kura 65
Akidi inayotakiwa kura 146
Kura za NDIYO 147
Kura za HAPANA 7
TANGANYIKA
Idadi ya Wabunge 411
Waliopiga kura 335
Wasiopiga Kura 76
Akidi inayotakiwa kura 274
Kura za NDIYO 331
Kura za HAPANA 1 hadi 4
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NJo-Az6QDhc/VCGBnORk5YI/AAAAAAAGlW8/wCSwPdeL_z8/s72-c/unnamed%2B%2872%29.jpg)
CHENGE AKABIDHI RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI BUNGE MAALUM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NJo-Az6QDhc/VCGBnORk5YI/AAAAAAAGlW8/wCSwPdeL_z8/s640/unnamed%2B%2872%29.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SWzZKcxijxM/VCGBtll8EGI/AAAAAAAGlXE/LzQ5cEXOMMo/s640/unnamed%2B%2873%29.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Bunge Maalum la Katiba lavunjwa rasmi leo mjini Dodoma
Makamu wa Pili wa Zanzibar ambaye pia alikuwa ni mjumbe wa Buge Maalum la Katiba, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akitoa neno la shukurani kwa wajumbe wa Bunge la Katiba na uongozi wao pamoja na uongozi wa nchi kabla ya bunge hilo kuvunjwa rasmi leo mjini Dodoma.
Waziri Mkuu wa Tanzania ambaye pia alikuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s72-c/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
Bunge Maalum la Katiba laanza mijadala ya Rasimu ya Katiba rasmi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s1600/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 9 Septemba, 2014 limeanza kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati namba Kumi na Mbili, Kamati namba Mbili, Kamati namba Moja, Kamati namba Nne, Kamati namba Nane, Kamati namba Tano, Kamati namba Tisa, Kamati namba Tatu, Kamati namba Sita pamoja na Kamati namba Kumi na Moja.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja suala la baadhi ya viongozi kumiliki akaunti zao za fedha...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SzB6WM4NKKY/VCLMzlcemmI/AAAAAAAAGAU/7GXq8PYGNoo/s72-c/Samuel-Sitta.jpg)
RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE MAALUM 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-SzB6WM4NKKY/VCLMzlcemmI/AAAAAAAAGAU/7GXq8PYGNoo/s640/Samuel-Sitta.jpg)
Mambo yameiva, na hii hapa ndiyo Rasimu ya Tatu ya Katiba, ambayo inapendekezwa na Bunge Maalum. Vipengele vingi vimebadilishwa. Haya hapa ni mambo ya Muungano:Mambo ya Muungano
1. Katiba na Mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.2. Ulinzi na usalama wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.3. Usalama na usafiri wa anga.4. Uraia na uhamiaji.5. Jeshi la Polisi.
6. Sarafu na Benki Kuu.7. Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na Mashirika,...
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
Matukio katika picha leo Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara (kulia) ambaye pia ni mmoja wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzie leo 28 Agosti, 2014 katika eneo la Bunge mjini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge Maalum la Katiba wakitoka ndani ya Bunge leo 28 Agosti, 2014 mjini Dodoma.(Picha zote na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma).