Matukio katika picha leo Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara (kulia) ambaye pia ni mmoja wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzie leo 28 Agosti, 2014 katika eneo la Bunge mjini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge Maalum la Katiba wakitoka ndani ya Bunge leo 28 Agosti, 2014 mjini Dodoma.(Picha zote na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMATUKIO KATIKA PICHA KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo30 Sep
MATUKIO YA PICHA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO 29 SEPTEMBA, 2014 MJINI DODOMA.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania