NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA) ATOA TAMKO KUHUSU SIKU YA KUPAMBANA NA KUENEA KWA HALI YA JANGWA NA UKAME DUNIANI MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Makamu wa Rais (Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza na waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Habari, Bungeni alipokutana nao kutoa Tamko kwa niaba ya Waziri kuhusu Siku ya kupambana na Kuenea kwa hali ya Jangwa na Ukame Dunia leo tarehe 16 Juni, 2014. Picha na Owen Mwandumbya.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RmDNQyY1DGY/XumvVpfli-I/AAAAAAALuKU/F3P2-6rAj7w_iFn5HlLZoaN3AYZ0KN9yQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-2-800x438.jpg)
TAMKO LA WAZIRI ZUNGU - SIKU YA KUPAMBANA KUENEA KWA JANGWA NA UKAME
![](https://1.bp.blogspot.com/-RmDNQyY1DGY/XumvVpfli-I/AAAAAAALuKU/F3P2-6rAj7w_iFn5HlLZoaN3AYZ0KN9yQCLcBGAsYHQ/s640/PIC-2-800x438.jpg)
11 years ago
Michuzimaadhimisho ya siku ya kupambana na kuenea kwa hali ya jangwa na ukame duniani wilayani same
Wito umetolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwaimu kwa jamii ya Umma wa Tanzania kutunza ardhi na udongo kwa ajili ya matumizi endelevu na kuifanya ardhi iwe na uwezo wa kuzalisha mazao ya kilimo na mifugo na kutoa huduma zingine muhimu ili kuepuka hali ya jangwa na ukame kwa kizazi cha sasa na kijacho na pia kuchukua hatua madhubuti za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.
Mheshimiwa Mwalimu amesema hayo wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya kupambana...
Mheshimiwa Mwalimu amesema hayo wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya kupambana...
5 years ago
MichuziTAMKO LA WAZIRI ZUNGU KUHUSU SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
TAMKO LA MHE. MUSSA AZZAN ZUNGU (MB.), WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS - MUUNGANO NA MAZINGIRA JUU YA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
Ndugu Wananchi,Kila tarehe 5 Juni, nchi yetu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70t5Gfmf2UtW*r6yHYOXBpNl7Ouoti56Gw-a-FRcIO1j*eywF8n-YLBUePNJoR7IfIYloSWMtjH6uPrkprExtgos/Pichayawazirimahengeakitoatamkokuhusuwikiyamzingira.jpg)
WAZIRI MAHENGE ATOA TAMKO LA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, TAREHE 5 JUNI 2015
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mhe. Dkt. Injinia Binilith Satano Mahenge akitoa tamko kuhusu wiki ya mzingira kwa waandishi wa habari (hawapo pichani). Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira, Dkt. Binillith S.Mahenge amesema Tarehe 5 Juni ya kila mwaka watanzania tunaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani. Kitaifa Maadhimisho haya yataadhimishwa katika viwanja vya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5HuR_7WT8lE/VIk0XhY26rI/AAAAAAAG2bI/axZ1Ktmqjro/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu afanya ukaguzi wa mazingira viwandani
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu amefanya ziara ya ukaguzi wa mazingira katika kiwanda cha OK Plastic kilichopo jijini Dar Es Salaam. Ziara hiyo ni muendelezo wa ziara za kuangalia hali ya mazingira kwenye viwanda mbalimbali hapa Nchini.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu akipata maelezo ya uendeshaji wa kiwanda cha OK Plastic kutoka kwa Menejimenti ya kiwanda hiko.Wengine wanaofuatia ni Mkurugenzi Msaidizi-Mazingira Ofisi ya Makamu wa...
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HuR_7WT8lE/VIk0XhY26rI/AAAAAAAG2bI/axZ1Ktmqjro/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
9 years ago
MichuziBALOZI WA UTURUKI ATEMBELEA OFISI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO.
Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh .January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili ya...
9 years ago
MichuziNAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo atoa siku 27 kwa wakurugenzi wa halmashauri nchini kuanza kutumia mfumo wa kielekroniki
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS - MUUNGANO SAMIA SULUHU HASSAN ATOA WITO WA KUTUNZA MALI ASILI NA MAZINGIRA
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ametoa wito wa kutunza mali asili na mazingira kwa sababu ni urithi kwa vizazi vijavyo. Aliongea hayo alipokuwa akifungua mkutano wa Wadau unaohusiana na Azimio la Gaborone jijini Dar es Salaam. Aliongeza kuwa idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka hivyo basi ni jukumu la kila mmoja kuacha kukata miti hovyo, kuacha kuchoma misitu na vitu vyote vinavyosababisha uharibifu wa mazingira kwa sababu upo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T4-dnCU6sII/VIgyfwD5B5I/AAAAAAAG2VI/rT2TqWdichM/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Mheshimiwa Ummy Mwalimu (Mb) Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais alifanya ziara ya kukagua Mazingira Mkoani Mtwara hususan katika eneo la Mdenga, Manispaa ya Mtwara. Chimbuko la ziara hii ni malalamiko yaliyotolewa na wananchi kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Abdulrahman Kinana alipokuwa kwenye ziara ya kikazi mkoani humo
Afisa Uhusiano wa kampuni ya SBS, Bw. Geofrey Kanenge (katikati) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu (Mb) (wa...
![](http://1.bp.blogspot.com/-T4-dnCU6sII/VIgyfwD5B5I/AAAAAAAG2VI/rT2TqWdichM/s1600/1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania