NAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo atoa siku 27 kwa wakurugenzi wa halmashauri nchini kuanza kutumia mfumo wa kielekroniki
Naibu Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akishiriki zoezi la kuwapima uzito mmoja wa watoto waliokuwepo katika kituo cha Afya Bahi baada ya kufanya ziara ya kukagua utoaji Huduma za afya katika wilaya ya Bahi, Mkoani Dodoma.
Naibu waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akizungumza na wagonjwa Mara baada ya kukagua wodi ya akina mama katika Kituo cha afya bahi.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jaffo akizungumza na watumishi na wakuu wa idara katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Selemani Jafo – Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora
9 years ago
StarTV04 Jan
Naibu waziri Jaffo atoa siku 28 kufunguliwa kwa Majengo Ya Upasuaji Nzega
Naibu Waziri ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa Selemani Jafo ,ameiagiza Halmashauri ya wilaya ya Nzega Mkoani Tabora, ifikapo January 31 mwaka huu majengo mawili ya upasuaji katika vituo vya Afya Bukene na Itobo yawe yamefunguliwa tayari kwa kuanza kutoa huduma kwa wananchi.
Majengo hayo yenye zaidi ya miaka miwili tangu kukamilika kwake bado wananchi wamendelea kusota kuifuata huduma ya Afya umbali wa kilometa 15 katika ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s72-c/unnamed+(10).jpg)
NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA) ATOA TAMKO KUHUSU SIKU YA KUPAMBANA NA KUENEA KWA HALI YA JANGWA NA UKAME DUNIANI MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s1600/unnamed+(10).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-35HviC9TAqM/Ux7du9KwXjI/AAAAAAAA73k/R27MSxuSLjs/s72-c/14.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MFUMO WA KULIPIA MATIBABU KWA KUTUMIA NJIA YA KIELEKRONIKI 'KCMC TEMBO CARD'
![](http://3.bp.blogspot.com/-35HviC9TAqM/Ux7du9KwXjI/AAAAAAAA73k/R27MSxuSLjs/s1600/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a6F4vLoWInQ/Ux7boYTm4vI/AAAAAAAA72U/GvV1-pPLQGE/s1600/20.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-06IEOzwZCuI/Ux7b0qOq_7I/AAAAAAAA72w/1q6YoyAzOpg/s1600/23.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s1yIy1k5xzo/Ux7bvkQ1dBI/AAAAAAAA72c/jAVaxtt-edc/s1600/21.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Naibu waziri atoa siku 14 kwa TRA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXSl2s8NkHz4bXBkO6k973UcLHYwLI8JxrUt675icPcE3rTdBr7m5kjeRD2N-0qIn4-0NzVvQgG*2cPGeiMo3836/02.jpg?width=650)
NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA(TAMISEMI)MH.KASSIM MAJALIWA AZINDUA RASMI KAMPENI YA FISTULA MWISHONI MWA WIKI
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-a6F4vLoWInQ/Ux7boYTm4vI/AAAAAAAA72U/GvV1-pPLQGE/s1600/20.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MFUMO WA KULIPIA MATIBABU KWA KUTUMIA NJIA YA KIELEKRONIKI 'KCMC TEMBO CARD'
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T4-dnCU6sII/VIgyfwD5B5I/AAAAAAAG2VI/rT2TqWdichM/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-T4-dnCU6sII/VIgyfwD5B5I/AAAAAAAG2VI/rT2TqWdichM/s1600/1.jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Jan
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM: George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi