Naibu waziri atoa siku 14 kwa TRA
Naibu Waziri Wizara ya Fedha, Adam Malima ametoa siku 14 kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kukaa na wafanyabiashara nchini na kutatua kero zote za kodi zilizopo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Jan
Naibu waziri Jaffo atoa siku 28 kufunguliwa kwa Majengo Ya Upasuaji Nzega
Naibu Waziri ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa Selemani Jafo ,ameiagiza Halmashauri ya wilaya ya Nzega Mkoani Tabora, ifikapo January 31 mwaka huu majengo mawili ya upasuaji katika vituo vya Afya Bukene na Itobo yawe yamefunguliwa tayari kwa kuanza kutoa huduma kwa wananchi.
Majengo hayo yenye zaidi ya miaka miwili tangu kukamilika kwake bado wananchi wamendelea kusota kuifuata huduma ya Afya umbali wa kilometa 15 katika ...
9 years ago
MichuziNAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo atoa siku 27 kwa wakurugenzi wa halmashauri nchini kuanza kutumia mfumo wa kielekroniki
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s72-c/unnamed+(10).jpg)
NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MAZINGIRA) ATOA TAMKO KUHUSU SIKU YA KUPAMBANA NA KUENEA KWA HALI YA JANGWA NA UKAME DUNIANI MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rKKHqj7qR_Y/U57VKW85bSI/AAAAAAAFq_g/blSWvXLsbak/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ATOA TARIFA YA UZINDUZI WA CHANJO YA KUZUIA SURUA NA RUBELLA KWA WANDISHI WA HABARI.
10 years ago
GPLNAIBU WAZIRI WA AFYA ATOA TAARIFA YA UZINDUZI WA CHANJO YA KUZUIA SURUA NA RUBBELA KWA WAANDISHI WA HABARI
9 years ago
StarTV29 Dec
Waziri Muhongo atoa siku saba kwa TANESCO
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ametoa siku saba kwa shirika la ugavi wa Umeme nchini TANESCO kuunganisha umeme katika kituo cha ushuru wa forodha kilichopo kwenye mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania ambacho kimekuwa kikitegemea umeme kutoka nchini jirani ya Rwanda.
Waziri Muhongo ametoa maagizo hayo baada ya kupata taarifa kutoka kwa Maafisa wa forodha wa kituo hicho ambao wamemuelezea changamoto ya mara kwa mara ya ukosefu wa umeme...
11 years ago
Uhuru Newspaper09 Jul
TRA yazuia gari la Naibu Waziri
Adaiwa kukwepa kulipa kodi kwa miaka miwili
Na Latifa Ganzel, Morogoro
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imekamata gari la Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla, kwa tuhuma za ukwepaji kodi.
Habari za kuaminika na zilizothibitishwa na Meneja wa TRA Wilaya ya Mvomero, Hemed Leso, zimesema kuwa Makalla anadaiwa kodi ya leseni ya barabara ya sh. 662,500.
Imeelezwa kuwa gari hilo aina ya Toyota Dyna lenye namba T534 BFP, lilikamatwa wakati wa operesheni ya kuwasaka wakwepa kodi iliyoendeshwa na maofisa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yUbqO8n5VQ0/XqAY8ncwsoI/AAAAAAAAHFo/CMvH89StCgwADMXJg5XK469u2-1kbLjdwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA ATOA POLE KWA FAMILIA 21 AMBAZO NDUGU ZAO WAMEFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BASI MKURANGA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QhGXNrqWiBA/VnP_nxRthXI/AAAAAAADclE/VI-WBsLyEec/s72-c/721.jpg)
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji atembelea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QhGXNrqWiBA/VnP_nxRthXI/AAAAAAADclE/VI-WBsLyEec/s640/721.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t7z6Paqip3Q/VnP_nx6fEKI/AAAAAAADclI/dV_mW9jiwPg/s640/731.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZydSXQraSrE/VnP__-6cs-I/AAAAAAADclU/JWNSBDoIl4E/s1600/index.jpeg)