TRA yazuia gari la Naibu Waziri
Adaiwa kukwepa kulipa kodi kwa miaka miwili
Na Latifa Ganzel, Morogoro
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imekamata gari la Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla, kwa tuhuma za ukwepaji kodi.
Habari za kuaminika na zilizothibitishwa na Meneja wa TRA Wilaya ya Mvomero, Hemed Leso, zimesema kuwa Makalla anadaiwa kodi ya leseni ya barabara ya sh. 662,500.
Imeelezwa kuwa gari hilo aina ya Toyota Dyna lenye namba T534 BFP, lilikamatwa wakati wa operesheni ya kuwasaka wakwepa kodi iliyoendeshwa na maofisa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
TRA yazuia waandishi kuonana na waziri
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Ofisa Habari wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) aliyetambulika kwa jina la Rebecca, aliwazuia waandishi wa habari kuonana na Waziri wa Fedha na Uchumi, Saada...
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Naibu waziri atoa siku 14 kwa TRA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QhGXNrqWiBA/VnP_nxRthXI/AAAAAAADclE/VI-WBsLyEec/s72-c/721.jpg)
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji atembelea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QhGXNrqWiBA/VnP_nxRthXI/AAAAAAADclE/VI-WBsLyEec/s640/721.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t7z6Paqip3Q/VnP_nx6fEKI/AAAAAAADclI/dV_mW9jiwPg/s640/731.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZydSXQraSrE/VnP__-6cs-I/AAAAAAADclU/JWNSBDoIl4E/s1600/index.jpeg)
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA UJENZI ELIAS KWANDIKA AKABIDHI GARI LA WAGONJWA KITUO CHA AFYA MBIKA USHETU
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe. Elias Kwandikwa ambaye ni Naibu Waziri wa Ujenzi akiwa ndani ya gari la Wagonjwa ‘Ambulance’ iliyotolewa na Serikali kwa ajili ya kituo cha afya cha Mbika kata ya Ushetu. Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe. Elias Kwandikwa ambaye ni Naibu Waziri wa Ujenzi amekabidhi gari la Wagonjwa ‘Ambulance’lililotolewa na Wizara ya afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa ufadhili wa Global Fund - RSSH kwa ajili ya kituo cha afya...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Rais amteua Bw. Mwaseba kuwa Naibu Kamishna Mkuu TRA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Lusekelo Mwaseba (pichani) kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, leo, Jumatano, Oktoba Mosi, 2014, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, imesema kuwa uteuzi huo unaanza leo.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Mwaseba alikuwa Kamishna wa Uchunguzi katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Imetolewa na;
Kurugenzi ya Mawasiliano ya...
9 years ago
MichuziWaziri na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wawasili rasmi Wizarani baada ya kuapishwa
9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI KITWANGA, NAIBU WAZIRI WA USALAMA WA RAIA WA CHINA WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
![mbo1](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/oIYd53vrEUKzCFVKvOWMbSeABlcmK-t_HCA8Rfpk0eKzRmyvfpbfO8F2Fh_2afeu6hJW2ANHUB-Jl-DEHeVVvXbufypP6O6rnEylkVTJT6xkPJuWIwws6g=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/mbo1.jpg)
![mbo2](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Y9smUucEQZlElgdUsSNTDVmcQgAtrEpQ6V2Dl2ahDjGZXljJVPQI8U-bDwAPlWiyKghyemou5I4yuevSaS8P8yAurno2jEPXQJu9N6XkodxA_5zWbXieJw=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/mbo2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EY5GYyFvkkw/Uu0kF-BdX8I/AAAAAAAFKHQ/XmTaB4qzPjs/s72-c/unnamed+(64).jpg)
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akutana na Naibu Waziri Mwandamizi wa Mambo ya Nje wa Japan
![](http://3.bp.blogspot.com/-EY5GYyFvkkw/Uu0kF-BdX8I/AAAAAAAFKHQ/XmTaB4qzPjs/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nj9zPiy7qNs/Uu0kGBhTHxI/AAAAAAAFKHU/T1gx9tEuhQ8/s1600/unnamed+(65).jpg)
9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPOKEA WAZIRI JENISTA MHAGAMA NA NAIBU MAWAZIRI MAVUNDE NA POSSI
![si11](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/7EOgov5lzekHFEcAKJnl1odDl8CKpm4pg1iDxobNoYWsX_CEBKOW3A8NiCqsrF9DEYc70IC2egDiCCvqxnQ_Yo0SeQ4xu6MONnBmpcbHpm9QYQdEJbHmIg=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/si11.jpg)
![si12](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/YUciI7KcFZwaM3AdoUadgO2SS6LWXWPEHmhCPxqTGZE8cTT3iSD6s3KrwyvIJ7SSYgLjqi8WAumqGKrXPpKsmY44m2c-y5WE_diSoWzB2c4w1C8Dr6Si6w=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/si12.jpg)