Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA yazuia waandishi kuonana na waziri

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Ofisa Habari wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) aliyetambulika kwa jina la Rebecca, aliwazuia waandishi wa habari kuonana na Waziri wa Fedha na Uchumi, Saada...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

TRA yazuia gari la Naibu Waziri



Adaiwa kukwepa kulipa kodi kwa miaka miwili
Na Latifa Ganzel, Morogoro
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imekamata gari la Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla, kwa tuhuma za ukwepaji kodi.
Habari za kuaminika na zilizothibitishwa na Meneja wa TRA Wilaya ya Mvomero, Hemed Leso, zimesema kuwa Makalla anadaiwa kodi ya leseni ya barabara ya sh. 662,500.
Imeelezwa kuwa gari hilo aina ya Toyota Dyna lenye namba T534 BFP, lilikamatwa wakati wa operesheni ya kuwasaka wakwepa kodi iliyoendeshwa na maofisa...

 

9 years ago

StarTV

Waziri mkuu awasimamisha kazi vigogo wa TRA

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Kamishna wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa nchini Tiagi Masamaki na Habibu Mponezya wa kituo cha huduma kwa wateja na kumwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu kuhakikisha wote wanakamatwa.

Wengine ni Eliachi Mrema Msimamizi mkuu wa Bandari kavu Dar Es Salaam, Haruni Mpande wa Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na Hamisi Omar ambapo watumishi wengine Nsajigwa Mwandegele, Robert Nyoni na Anengisye Mtafya...

 

10 years ago

Mwananchi

Naibu waziri atoa siku 14 kwa TRA

Naibu Waziri Wizara ya Fedha, Adam Malima ametoa siku 14 kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kukaa na wafanyabiashara nchini na kutatua kero zote za kodi zilizopo.

 

11 years ago

Habarileo

JK afanya uteuzi TRA, azungumza na Waziri Mkuu wa China

Rished BadeRAIS Jakaya Kikwete amemteua, Rished Bade kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuu awasimamisha kazi watumishi wengine watatu TRA

Kasi ya Serikali ya Awamu ya Tano, imeendelea kuwasomba watendaji wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), baada ya jana Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa kuwasimamisha kazi wengine watatu na kufanya jumla ya waliosimamishwa kuwa tisa.

 

9 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji atembelea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)


 Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu KijajiNaibu Waziri wa Fedha akizungumza na Bodi ya Wakurugenzi pamoja na menejimenti ya TRA. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bw. Benard Mchomvu na Kushoto kwake ni Naibu Kamishna Mkuu Bw. Lusekelo Mwaseba.---Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji ametembelea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kufahamiana na Bodi ya Wakurugenzi pamoja na Uongozi wa TRA na kusisitiza msimamo wa serikali ya awamu ya tano katika suala...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Afya afungua semina kwa waandishi wa habari kuhusu usalama wa chakula

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Rashid Seif  (kushoto), akihutubia wakati akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu usalama wa chakula. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora.

Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (kushoto),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani