JAMII SPORTS CLUB YAADHIMISHA NYERERE DAY KWA KUCHANGIA DAMU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/2.Wanajoggingi-walioshiriki-uchangiaji-damu-huo-wakiwa-katika-picha-ya-pamoja..jpg)
Wanajogging  walioshiriki uchangiaji damu huo wakiwa katika picha ya pamoja. Nyuso za furaha na hamasa tupu Gazeti la Championi likisomwa na wanajogging.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Mama Kikwete aitaka Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari
Mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya wachangiaji damu salama kitaifa Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mkoa wa Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Kigoma
Jamii imetakiwa kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari kitendo ambacho kitapunguza vifo vya kina mama wajawazito 363 vinavyotokea kila mwaka kutokana na tatizo la ukosefu wa damu wakati wa kujifungua.
Mwito huo umetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s72-c/yanga%252Blogo.jpg)
AZAM FC, TFF KUADHIMISHA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI KWA KUCHANGIA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s400/yanga%252Blogo.jpg)
Zoezi hilo la uchangiaji damu linatarajiwa kufanyika nje ya Uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 6 mchana.
Juni 14, Azam itakuwa ikicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Mbao saa 1.00 usiku na kuhusisha watu wa aina mbalimbali.
Zoezi hilo la uchangiaji damu na kudumisha shirikiano huo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b_As5MMU8o8/U9TzsH1No4I/AAAAAAAAFt4/3LXCcf3qBHA/s72-c/IMG_2508.jpg)
KUFUATIA MUAMKO HAFIFU WA UCHANGIAJI DAMU MKOANI RUKWA KUTOKANA NA DHANA POTOFU ZILIZOPO, MADAKTARI WAONYESHA MFANO KWA KUCHANGIA DAMU KATIKA HOSPITALI KUU YA MKOA HUO
![](http://3.bp.blogspot.com/-b_As5MMU8o8/U9TzsH1No4I/AAAAAAAAFt4/3LXCcf3qBHA/s1600/IMG_2508.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/---fnEB9MwfU/VX6cT_ZV_4I/AAAAAAAC6rg/G08Xq8b7HEA/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA KUCHANGIA DAMU DUNIANI. DAR ES SALAAM: JUNE 14, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/---fnEB9MwfU/VX6cT_ZV_4I/AAAAAAAC6rg/G08Xq8b7HEA/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IRxgF1BsE_U/VX6UusV8zuI/AAAAAAAC6qo/te0Vu82P4GA/s640/Exim%2BPicture%2B2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.jpg?width=500)
MISS TZ AANZA SAFARI YA DUNIA KWA KUCHANGIA DAMU
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Wengi wajitokeze kuchangia damu kwa wingi- Mama Salma
Na Anna Nkinda ñ Maelezo, Kigoma
JAMII imetakiwa kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari kitendo ambacho kitapunguza vifo vya kina mama wajawazito 363 vinavyotokea kila mwaka kutokana na tatizo la ukosefu wa damu wakati wa kujifungua.
Wito huo ulitolewa na Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, wakati akizungumza na wananchi wa Kigoma kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu Duniani zilizofanyika kitaifa mkoani humo.
Mama Salma, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GPrTmQu40Bk/VVCrzhpXEfI/AAAAAAAHWoo/qVSVaJFcFyE/s72-c/viewer.png)
TAARIFA YA DHARURA KWA UMMA KUHUSU KUCHANGIA DAMU HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-GPrTmQu40Bk/VVCrzhpXEfI/AAAAAAAHWoo/qVSVaJFcFyE/s640/viewer.png)
Matumizi ya Damu:Damu inatumika sana kwa wagonjwa wa dharura, akina mama wajawazito, wagonjwa waliofanyiwa upasuaji, watoto pamoja na wagonjwa wa saratani.
Upasuaji wa...
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Hospitali za Apollo zatoa wito kwa watu binafsi kuchangia damu na kuokoa maisha
Ikisherehekewa kila mwaka tarehe 14 Juni Siku ya kimataifa ya uchangiaji damu inahusika katika kuinua uelewa wa umuhimu wa kila mmoja kuwa mstari wa mbele kuokoa maisha na pia kutoa shukrani kwa wachangiaji damu wote duniani. Katika nchi zinazo kua kama Tanzania upatikanaji wa damu salama ni bidhaa adimu na hasa inachangiwa na ushiriki mdogo wa raia.
Hata hivyo pamoja na shughuli zote zinazofanyika katika siku hiyo ni muhimu sana kila mmoja kutambua umuhimu wa kuchangia damu kwa hiyari....
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NOsDz0mkAX4/UySLw7EnAFI/AAAAAAAFTrM/yUbFXlH-I1k/s72-c/unnamed+(26).jpg)
WAUMINI WA KANISA LA ADVENTISTA LA WASABATO WAADHIMISHA SIKU YA MATENDO YA HURUMA KWA KUCHANGIA DAMU