Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISS TZ AANZA SAFARI YA DUNIA KWA KUCHANGIA DAMU

  Miss Tanzania 2014/15 Lilian Kamazima akitolewa damu kwaajili ya kuhamasisha jamii katika suala la uchangiaji damu safi na salama kwenye kituo cha Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam. Kamazima akitolewa damu ndani ya Viwanja vya Mnazi mmoja. Lilian akiwa ameshikilia damu hiyo muda mufupi baada ya kuhitimisha zoezi hilo la kuchangia damu safi na salama.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

AZAM FC, TFF KUADHIMISHA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI KWA KUCHANGIA DAMU

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiKUELEKEA siku ya utoaji damu duniani Juni 14 kila mwaka, Klabu ya Azam imeungana Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuadhimisha siku hiyo muhimu.
Zoezi hilo la uchangiaji damu linatarajiwa kufanyika nje ya Uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 6 mchana.
Juni 14, Azam itakuwa ikicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Mbao saa 1.00 usiku na kuhusisha watu wa aina mbalimbali.
Zoezi hilo la uchangiaji damu na kudumisha shirikiano huo...

 

11 years ago

Michuzi

KUFUATIA MUAMKO HAFIFU WA UCHANGIAJI DAMU MKOANI RUKWA KUTOKANA NA DHANA POTOFU ZILIZOPO, MADAKTARI WAONYESHA MFANO KWA KUCHANGIA DAMU KATIKA HOSPITALI KUU YA MKOA HUO

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dkt. John Gurisha akipimwa kabla ya kuchangia damu katika zoezi lilioendeshwa na Shrika la Red Cross katika kuchangia damu Mkoani Rukwa. Kumekuwepo na uhaba mkubwa wa damu katika Hospitali Kuu ya Mkoa wa Rukwa na vituo vingine uhaba ambao unafikia nusu kwa nusu ukilinganisha kiasi kinachopatikana na mahitaji yaliyopo. Uhaba huo umesababishwa na muamko hafifu wa wananchi kuchangia damu kutokana na hofu inayosababishwa na dhana potofu kuwa uchangiaji damu...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA KUCHANGIA DAMU DUNIANI. DAR ES SALAAM: JUNE 14, 2015

 Mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania  Bi. Ilakiza Hezwa (kulia) akichangia damu sambamba na wafanyakazi wenzie waliojitokeza makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya uchangiaji damu duniani .Kushoto ni Ofisa wa Mpango wa taifa wa damu salama (NBTS) Bw. Peter Chami. Mkuu wa kitengo Uendeshaji na teknolojia Bw. Hamza Mohamed (kulia) akipima shinikizo la damu kabla ya kuungana na wafanyakazi wenzie wa benki hiyo...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wengi wajitokeze kuchangia damu kwa wingi- Mama Salma


Na Anna Nkinda ñ Maelezo, Kigoma
JAMII imetakiwa kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari kitendo ambacho kitapunguza vifo vya kina mama wajawazito 363 vinavyotokea kila mwaka kutokana na tatizo la ukosefu wa damu wakati wa kujifungua.
Wito huo ulitolewa na Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, wakati akizungumza na wananchi wa Kigoma kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu Duniani zilizofanyika kitaifa mkoani humo.
Mama Salma, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na...

 

9 years ago

GPL

JAMII SPORTS CLUB YAADHIMISHA NYERERE DAY KWA KUCHANGIA DAMU

Wanajogging  walioshiriki uchangiaji damu huo wakiwa katika picha ya pamoja. Nyuso za furaha na hamasa tupu Gazeti la Championi likisomwa na wanajogging.…

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA DHARURA KWA UMMA KUHUSU KUCHANGIA DAMU HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

Menejimenti ya Hospitali ya Taifa Muhimbili inawaomba Watanzania, mashirika ya umma, mashirika yasiyo ya kiserikali, mashule, taasisi za kidini, na vyuo mbalimbali kujitokeza kusaidia kuchangia damu Hospitalini hapa ili kuokoa maisha ya wagonjwa. Hospitali inahitaji chupa za damu kwa wastani wa chupa 70 hadi 100 kwa siku.
Matumizi ya Damu:Damu inatumika sana kwa wagonjwa wa dharura, akina mama wajawazito, wagonjwa waliofanyiwa upasuaji, watoto pamoja na wagonjwa wa saratani.
Upasuaji wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mama Kikwete aitaka Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari

unnamed (10)

  Mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya wachangiaji damu salama kitaifa Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mkoa wa Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.

Na Anna Nkinda – Maelezo, Kigoma

Jamii imetakiwa kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari kitendo ambacho kitapunguza  vifo vya kina mama wajawazito 363 vinavyotokea kila mwaka kutokana na tatizo la ukosefu wa damu wakati wa kujifungua.

Mwito huo umetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na...

 

9 years ago

Michuzi

Miss Tanzania, Liliani Kamazima kukabidhiwa bendera ya taifa tayari kwa safari ya Miss World

Mrembo anayeshikilia taji la Urembo la Taifa (Miss Tanzania 2014/15) Lilian Deus Kamazima anatarajia kukabidhiwa Bendera ya Taifa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mh. Said Meck Sadick  ikiwa ni ishara ya kumtakia kila la kheri katika mashindano ya urembo ya Dunia yanayotarajiwa kufanyika Jijini Sanya, nchini China,  tarehe 19 Desemba 2015.
Mrembo huyo ataondoka nchini Ijumaa ya tarehe 20 Novemba 2015 na ataungana na warembo wengine kutoka nchi zaidi ya 120 duniani na watapiga kambi ya mwezi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali za Apollo zatoa wito kwa watu binafsi kuchangia damu na kuokoa maisha

blood (2)

Dr-Prathap-C-Reddy (1)

Ikisherehekewa kila mwaka tarehe 14 Juni Siku ya kimataifa ya uchangiaji damu inahusika katika kuinua uelewa wa umuhimu wa kila mmoja kuwa mstari wa mbele kuokoa maisha na pia kutoa shukrani kwa wachangiaji damu wote duniani. Katika nchi zinazo kua kama Tanzania upatikanaji wa damu salama ni bidhaa adimu na hasa inachangiwa na ushiriki mdogo wa raia.

Hata hivyo pamoja na shughuli zote zinazofanyika katika siku hiyo ni muhimu sana kila mmoja kutambua umuhimu wa kuchangia damu kwa hiyari....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani