Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miss Tanzania, Liliani Kamazima kukabidhiwa bendera ya taifa tayari kwa safari ya Miss World

Mrembo anayeshikilia taji la Urembo la Taifa (Miss Tanzania 2014/15) Lilian Deus Kamazima anatarajia kukabidhiwa Bendera ya Taifa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mh. Said Meck Sadick  ikiwa ni ishara ya kumtakia kila la kheri katika mashindano ya urembo ya Dunia yanayotarajiwa kufanyika Jijini Sanya, nchini China,  tarehe 19 Desemba 2015.
Mrembo huyo ataondoka nchini Ijumaa ya tarehe 20 Novemba 2015 na ataungana na warembo wengine kutoka nchi zaidi ya 120 duniani na watapiga kambi ya mwezi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:SITTI MTEVU ALIVUA TAJI LA MISS TANZANIA 2014,LILIANI KAMAZIMA AMRITHI.



Aliyekuwa Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu katika pozi na mshindi wa pili, Lillian Kamazima (kulia) aliyechukua nafasi yake pamoja na mshindi wa tatu, Jihhan Dimachk.Sitti Abas Mtemvu amelivua taji hilo baada ya kuiandikia barua Kamati ya Miss Tanzania, November 5 mwaka huu, kuhusiana na uamuzi wake huo.Mrembo huyo alikuwa akikabiliwa na shutuma za kudanganya umri wake, jambo ambalo lilililazimu Baraza la Sanaa la Taifa, (Basata) kutokana na agizo la wizara  husika kufuatilia...

 

10 years ago

Vijimambo

MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 AELEKEA MIAMI TAYARI KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA

Mrembo wa miss Universe Tanzania 2014 ameondoka rasmi nchini kuelekea nchini Marekani kwenye fainali za dunia za Miss Universe zitakazofanyika jijini Miami tarehe 25 mwezi huu wa januari 2015.

 

10 years ago

Michuzi

MISS TANZANIA 2013 JETS INTO LONDON TO FOR THE MISS WORLD PAGEANT

By Ayoub Mzee, London Today Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa  paid a courtesy call to the Tanzania High Commission in London where  She was welcomed  by the High Commissioner H.E Ambassador Peter Kallaghe. During their meeting Miss Happiness was able to update the  High Commissioner about her mission to represent Tanzania as a country at the coveted  64th edition of Miss world beauty pageant that will take place in early December. She had won...

 

10 years ago

GPL

MISS TANZANIA 2013 JETS INTO LONDON TO FOR THE MISS WORLD PAGEANT

Miss Tanzania Happiness Watimanywa signs the guests book at the Tanzania High Commission in London as the High Commissioner H.E Ambassador Peter Kallaghe looks on. The Tanzania High Commissioner to the UK H.E Ambassador Peter Kallaghe hands over the national flag to Miss Tanzania Happiness Watimanywa…

 

10 years ago

Michuzi

Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanya at the Miss World in London

By Ayoub Mzee –London Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanya is in town in time for the festive season where she will experience the famous Christmas spirit that can be found in England's capital city. For a little over three weeks, she and the other contestants will experience the wonder of England's vibrant multicultural metropolis as she takes part in the Miss World Challenge Events and prepare herself for the Big Final!The events start from 20th November, culminating in the Grand...

 

10 years ago

Vijimambo

MPIGIE KURA MISS TANZANIA 2013 KATIKA SHINDANO LA MISS WORLD 2014


VOTE FOR MISS TANZANIA-MISS WORLDVOTING HAS OPENED!You can now register your votes for your Favourite contestants on the Miss World App, and its FREE!Download the Miss World App on iOS & Android now and you can vote for your TOP THREE contestants in the competition. 
Voting will be open for the next 25 days, closing during the final show.Download the App Here –http://www.missworld.com/TheCompetition/TheMissWorldMobileApp/For more info on the vote Click here...

 

10 years ago

Michuzi

WATANZANIA TUMPE SUPPORT MISS TANZANIA HAPPINESS WATIMANYWA KWENYE SHINDANO LA MISS WORLD 2014‏‎


    Happiness Watimanywa (20) aliyekuwa Redds Miss Tanzania 2013 sasa yuko jijini London Uingereza kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World 2014. Happiness ambaye kwa sasa anashikilia taji la Miss World Tanzania 2014 amesema ana kila sababu ya kurudisha taji nyumbani ikiwa watanzania watamuunga mkono kwa kusambaza video zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii."Hebu angalia uzuri wa taifa letu, amani, upendo na vivutio mbalimbali vya utalii. Hebu niangalie na mimi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani