Mama Kikwete aitaka Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari
Mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya wachangiaji damu salama kitaifa Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mkoa wa Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Kigoma
Jamii imetakiwa kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari kitendo ambacho kitapunguza vifo vya kina mama wajawazito 363 vinavyotokea kila mwaka kutokana na tatizo la ukosefu wa damu wakati wa kujifungua.
Mwito huo umetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/2.Wanajoggingi-walioshiriki-uchangiaji-damu-huo-wakiwa-katika-picha-ya-pamoja..jpg)
JAMII SPORTS CLUB YAADHIMISHA NYERERE DAY KWA KUCHANGIA DAMU
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Wengi wajitokeze kuchangia damu kwa wingi- Mama Salma
Na Anna Nkinda ñ Maelezo, Kigoma
JAMII imetakiwa kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari kitendo ambacho kitapunguza vifo vya kina mama wajawazito 363 vinavyotokea kila mwaka kutokana na tatizo la ukosefu wa damu wakati wa kujifungua.
Wito huo ulitolewa na Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, wakati akizungumza na wananchi wa Kigoma kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu Duniani zilizofanyika kitaifa mkoani humo.
Mama Salma, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s72-c/yanga%252Blogo.jpg)
AZAM FC, TFF KUADHIMISHA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI KWA KUCHANGIA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s400/yanga%252Blogo.jpg)
Zoezi hilo la uchangiaji damu linatarajiwa kufanyika nje ya Uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 6 mchana.
Juni 14, Azam itakuwa ikicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Mbao saa 1.00 usiku na kuhusisha watu wa aina mbalimbali.
Zoezi hilo la uchangiaji damu na kudumisha shirikiano huo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b_As5MMU8o8/U9TzsH1No4I/AAAAAAAAFt4/3LXCcf3qBHA/s72-c/IMG_2508.jpg)
KUFUATIA MUAMKO HAFIFU WA UCHANGIAJI DAMU MKOANI RUKWA KUTOKANA NA DHANA POTOFU ZILIZOPO, MADAKTARI WAONYESHA MFANO KWA KUCHANGIA DAMU KATIKA HOSPITALI KUU YA MKOA HUO
![](http://3.bp.blogspot.com/-b_As5MMU8o8/U9TzsH1No4I/AAAAAAAAFt4/3LXCcf3qBHA/s1600/IMG_2508.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/---fnEB9MwfU/VX6cT_ZV_4I/AAAAAAAC6rg/G08Xq8b7HEA/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA KUCHANGIA DAMU DUNIANI. DAR ES SALAAM: JUNE 14, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/---fnEB9MwfU/VX6cT_ZV_4I/AAAAAAAC6rg/G08Xq8b7HEA/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IRxgF1BsE_U/VX6UusV8zuI/AAAAAAAC6qo/te0Vu82P4GA/s640/Exim%2BPicture%2B2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.jpg?width=500)
MISS TZ AANZA SAFARI YA DUNIA KWA KUCHANGIA DAMU
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Uuzaji damu wamkera Mama Salma Kikwete
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GPrTmQu40Bk/VVCrzhpXEfI/AAAAAAAHWoo/qVSVaJFcFyE/s72-c/viewer.png)
TAARIFA YA DHARURA KWA UMMA KUHUSU KUCHANGIA DAMU HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-GPrTmQu40Bk/VVCrzhpXEfI/AAAAAAAHWoo/qVSVaJFcFyE/s640/viewer.png)
Matumizi ya Damu:Damu inatumika sana kwa wagonjwa wa dharura, akina mama wajawazito, wagonjwa waliofanyiwa upasuaji, watoto pamoja na wagonjwa wa saratani.
Upasuaji wa...
10 years ago
Habarileo15 Jun
RC aitaka jamii kushiriki vita ajira kwa watoto
MKUU wa Mkoa Kigoma, Issa Machibya amesema kuwa tatizo la utumikishwaji wa watoto nchini halitakwisha kama jamii haitakuwa tayari kushiriki kikamilifu katika kupiga vita ajira za watoto.