RC aitaka jamii kushiriki vita ajira kwa watoto
MKUU wa Mkoa Kigoma, Issa Machibya amesema kuwa tatizo la utumikishwaji wa watoto nchini halitakwisha kama jamii haitakuwa tayari kushiriki kikamilifu katika kupiga vita ajira za watoto.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Vita dhidi ya ajira kwa watoto Tanzania
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Mama Kikwete aitaka Jamii kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari
Mgeni Rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya wachangiaji damu salama kitaifa Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi wa Mkoa wa Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Kigoma
Jamii imetakiwa kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari kitendo ambacho kitapunguza vifo vya kina mama wajawazito 363 vinavyotokea kila mwaka kutokana na tatizo la ukosefu wa damu wakati wa kujifungua.
Mwito huo umetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na...
10 years ago
MichuziWaziri Mkuu aitaka NHIF kuongeza bidii katika kutoa elimu ya Afya kwa Jamii
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ve0wVtFgBTE/VkQ7ZXe2QxI/AAAAAAAIFYQ/tCIHNCIUU08/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
RC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...
10 years ago
Habarileo22 Jun
Vita Sudan Kusini yazuia ajira kwa walimu nchini
SERIKALI imesema haiwezi kupeleka walimu nchini Sudan Kusini licha ya kuwa na soko kubwa la walimu kutokana na hali tete ya usalama nchini humo.
9 years ago
Habarileo02 Dec
Pinda aitaka jamii kuenzi utamaduni
KITUO cha Utamaduni wa China kimefunguliwa nchini huku Watanzania wakitakiwa kudumisha utamaduni wao ili uwe na manufaa kwa vizazi vijavyo. Akizindua kituo hicho jana Dar es Salaam, Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (pichani) alisema utamaduni ni kitu muhimu sana kwa Watanzania hivyo ni vyema kuudumisha na kuendeleza ili Taifa liwe na nembo muhimu kwa upande wa utamaduni.
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Tatizo la ajira kwa watoto migodini TZ
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NlmMLtvsLMg/XuOLQM10j1I/AAAAAAALtmk/fZLq-lJLQsQQBPUuE8uqBkOhq-7s9_h4ACLcBGAsYHQ/s72-c/download-6.jpg)
Tamko la THBUB_Maadhimisho ya kupinga ajira kwa watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/-NlmMLtvsLMg/XuOLQM10j1I/AAAAAAALtmk/fZLq-lJLQsQQBPUuE8uqBkOhq-7s9_h4ACLcBGAsYHQ/s1600/download-6.jpg)
Shirika la Kazi Duniani kupitia Mkataba wa Kimataifa Na. 138, uliweka umri wa ajira kuwa ni miaka 15 na kuendelea, na Mkataba Na. 182 uliorodhesha ajira zisizokubalika kwa watoto na ambazo zinatakiwa kuzuiwa.
Tume ya Haki...