Tamko la THBUB_Maadhimisho ya kupinga ajira kwa watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/-NlmMLtvsLMg/XuOLQM10j1I/AAAAAAALtmk/fZLq-lJLQsQQBPUuE8uqBkOhq-7s9_h4ACLcBGAsYHQ/s72-c/download-6.jpg)
Tarehe 12 Juni ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ajira kwa Mtoto Duniani – World Day against Child Labour. Siku hii ilianzishwa na Shirika la Kazi Duniani (ILO) mwaka 2002 kwa madhumuni ya kutoa elimu na kufanya uchechemuzi ili kuzuia utumikishwaji kwa watoto.
Shirika la Kazi Duniani kupitia Mkataba wa Kimataifa Na. 138, uliweka umri wa ajira kuwa ni miaka 15 na kuendelea, na Mkataba Na. 182 uliorodhesha ajira zisizokubalika kwa watoto na ambazo zinatakiwa kuzuiwa.
Tume ya Haki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi05 Feb
10 years ago
Bongo515 Mar
Vanessa Mdee aungana na UNICEF kupinga ukatili kwa watoto
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Tamko la pamoja kwa siku ya kimataifa ya kukomesha ukeketaji dhidi ya wa watoto wa kike
UNFPA, UNICEF, Shirikisho la Kimataifa la Wakunga na Shirikisho la Kimataifa la Magonjwa ya Wanawake na Uzazi.
Wito kwa wafanyakazi wa afya duniani kote ili kuhamasisha kukomesha ukeketaji
Kwa mwaka 2015, ujumbe wa kimataifa wa siku ya kupinga ukeketaji umewalenga wahudumu wa afya; “Uhamasishaji na ushirikishwaji wa wafanyakazi wa Afya ili kuharakisha kutokomeza ukeketaji”. Na hii ni kwa sababu asilimia 34 ya ukeketaji duniani hufanywa na wahudumu wa afya.
Pamoja na ujumbe huu mahsusi kwa...
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Tatizo la ajira kwa watoto migodini TZ
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QqVegbO2C_M/U_cfAx1drmI/AAAAAAACn4Y/f8sRL8gXgHs/s72-c/20140820_155134%5B1%5D.jpg)
KAMATI KUU YA BARAZA LA WATOTO LAKUTANA DODOMA KUTOA TAMKO LA WATOTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-QqVegbO2C_M/U_cfAx1drmI/AAAAAAACn4Y/f8sRL8gXgHs/s1600/20140820_155134%5B1%5D.jpg)
kamati kuu la Baraza la watoto limekutana mjini Dodoma chini ya Uongozi wa mwenyekiti wake Ummy Jamaal kutoa tamko la watoto kwa waheshimiwa wabunge na waandishi wa habari wakitoa msisitizo wa ajenda ya mtoto kuwa sehemu ya mchaakato wa katiba.
Jambo kubwa walilosisitiza ni kuwaomba Ukawa warudi bungeni ili kumalizia mchakato wa kutengeneza katiba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GcI7Y8XJfjQ/U_cfD8pDhLI/AAAAAAACn4g/3YubYUUpImo/s1600/IMG_0263%5B1%5D.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/10945033_856755441041229_6165141623154796543_o.jpg)
TAMKO LA PAMOJA KWA SIKU YA KIMATAIFA YA KUKOMESHA UKEKETAJI DHIDI YA WA WATOTO WA KIKE
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Vita dhidi ya ajira kwa watoto Tanzania
11 years ago
GPLAJIRA KWA WATOTO BADO TATIZO KUBWA MASASI
10 years ago
Habarileo15 Jun
RC aitaka jamii kushiriki vita ajira kwa watoto
MKUU wa Mkoa Kigoma, Issa Machibya amesema kuwa tatizo la utumikishwaji wa watoto nchini halitakwisha kama jamii haitakuwa tayari kushiriki kikamilifu katika kupiga vita ajira za watoto.